Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
come back utuambie ulichofanikiwa na sisi tuige!!!Asante wandugu,hapa mmenipa urahisi sana,maana mitandao ya nchini walikua wananiumiza mno!
kwa Bongo sijui utaipataje kwa kweli, jaribu kuulizia madukani, au uchukue online tu. Halafu zipo aina 2( Magic jack& magicjack plus). Plus is the best. Wanacharge kadi ya benki.du hizi ni za kweli!!na hapa bongo nitaipataje na nita recharge namna gani!!!
Mkuu nimeamua kutumia Viber na Skype,naona wako poa sana
Wadau naomba kujuzwa ni mtandao gani ni rahisi zaidi kwa maana ya charges kupiga simu nje hasa nchi za Uk na Us,mini ni mtu ninaejaribu kuanza kujihusisha na vijibiashara toka nchi hizo mbili,sasa naona gharama