Wapo mfano mzuri ni Kiduku Lilo a.k.a Bill Lugano
Huyo pedezhee miyeyusho tu.
Ndiyo maana nimekwambia wapoMara yako ya mwisho lini mkuu?
Sijui kwa kweli, hadi ofisi nyingi wananunua vifurushi kwa matumizi hata simu za mezani.
Binafsi sikumbuki mara ya mwisho, na ikitokea nimejisahau nikibeep tu sekunde kadhaa salio limeliwa roho inauma balaa!
Je, bado kuna wenye jeuri hiyo?
Mhh wapi, wakati tigo walipotoa zile dk 5 freely 06-09 AM ulikuwa unazidamkia 😀Mimi hua napiga
Mhh wapi, wakati tigo walipotoa zile dk 5 freely 06-09 AM ulikuwa unazidamkia