Tyrone Kaijage
JF-Expert Member
- Jul 19, 2021
- 1,603
- 3,333
Hii kitu sijawahi kuhadithia mtu hahaha, mara ya kwanza enzi hizo niko form two kwenye NECTA, niseme tuu nilikuwa na focus sana na mamitihani ile na sijawahi kusoma kwa focus kama vile.
Basi siku hiyo paper haikuwa ngumu kwangu na ilinikalia vizuri sana ila tuu nilikuwa naremba kwenye kujibu maswali, sasa ile nasikia 30 min to go na nikiangalia maswali yaliyobaki nayaweza na nahisi muda hautatosha kumaliza basi, basi buana nikahisi kama panic halafu nikahisi kama wazungu wanakuja.
Mpaka leo sijajua uhusiano wa lile tukio na mwili ki biologia.
Basi siku hiyo paper haikuwa ngumu kwangu na ilinikalia vizuri sana ila tuu nilikuwa naremba kwenye kujibu maswali, sasa ile nasikia 30 min to go na nikiangalia maswali yaliyobaki nayaweza na nahisi muda hautatosha kumaliza basi, basi buana nikahisi kama panic halafu nikahisi kama wazungu wanakuja.
Mpaka leo sijajua uhusiano wa lile tukio na mwili ki biologia.