Meshacky Allyson
Senior Member
- Oct 29, 2020
- 124
- 246
Ni muda mrefu sana nilitafakari , hili jambo nikijitahidi kupitia vitabu na chunguzi mbali mbali juu ya jambo hili , Ukweli nimekuja kugundua Kupendana pekeee hakutoshi wala hakufanyi ndoa yako iwe safe ,iwe imara au idumu kwa muda mrefu ,Why nakwambia hili..???
Hebu jaribu kufikiri watu walioachana
This means that there is a something which is more powerful than their love..!! Nikiwa na maana kuna kitu chenye nguvu kuliko upendo wao , kuliko kupendana kwao , ndicho kinachovunja ndoa nyingi kila kukichaa , So what do u think ..?? Ni nn hichi chenye nguvu zaid ya mapenzi..???
Baada ya kupitia maandiko na nukuu mbalimbali..!! Nikaja kugundua kinachoua ndoa nyingi ni
Even doesn't teach you how to drive..!!? Bible says watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa , kabla ya kuoa au kuolewa be knowledgeable , understanding about marriage , i swear uta win na kumudu ndoa la sivyo , utatoa hela kama ni baba , kama ni binti utamkatia viuno mumeo wee , ukifikiri ndo kumuweza
..
Mwishowe utaachwa au utaacha tu..
Bye ...
Uzi nawasilisha..
Hebu jaribu kufikiri watu walioachana
Divorce
hivi hawa watu mpaka wanaingia kwenye ndoa it's means walipendana , Tena sanaa na kuona ni vyema kwenda kubariki uhusiano wao kwa taratibu za kidini ,sasa nn kimefanya waachane...??? Nn kimetibua ndoa yao ..?? This means that there is a something which is more powerful than their love..!! Nikiwa na maana kuna kitu chenye nguvu kuliko upendo wao , kuliko kupendana kwao , ndicho kinachovunja ndoa nyingi kila kukichaa , So what do u think ..?? Ni nn hichi chenye nguvu zaid ya mapenzi..???
Baada ya kupitia maandiko na nukuu mbalimbali..!! Nikaja kugundua kinachoua ndoa nyingi ni
Understanding and knowledge
Wanandoa wengi hawana maarifa na ufahamu mzuri na mkubwa kuhusu ndoa , ndio sababu hata kupendana kwao hakufui dafu wala hakuwezi kuleta matokeo yyte yalee..., Mtu anaoa au kuolewa , lkn hana uwelewa wowote kuhusu kuishi na mtu , .!!! Ni kama mtu anakupa fungua ya gari na gari alafu anakwambia endesha..!!Even doesn't teach you how to drive..!!? Bible says watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa , kabla ya kuoa au kuolewa be knowledgeable , understanding about marriage , i swear uta win na kumudu ndoa la sivyo , utatoa hela kama ni baba , kama ni binti utamkatia viuno mumeo wee , ukifikiri ndo kumuweza
..
Mwishowe utaachwa au utaacha tu..
Bye ...
Uzi nawasilisha..