^^
Umepika chai vizuriii ila mwishoni umeweka chumvi badala ya sukari.
^^
Mmmhh... Nimekumbuka mbali kweli!
Nilishawahi mwambia dada mmoja hivi, 'tukatiane chungwa'!!
Duh! Jicho lilimtoka mithili ya panya aliyebanwa na mlango!
ONE FOR THE ROAD...YOU HAVE HAD TOO MUCH TODAY BRO...
hili swali lako la kimtego kweli!!
chief picha yako imenchekesha sana nakumbuka nlitoka na my frend happy na eddo tukaenda jolly pombe zilinyweka sana sana viroba balaa kuja kumtafuta happy haonekani kumbe yupo uvunguni kwa gari la eddo kalala jamani sitasahau nlicheka sana kufika makazi si akataja kujirusha ghorofani kisha bf alikata kumfata wacha alie jamani viroba ni noma.
Sasa jiulize huyo alifikaje kwa tyres??
Kuna uhusiano wowote kati ya makosa ya sarufi za lugha (common errors in language) na viroba? Kweli aisifuye mvua imemnyea!
Mmmhh... Nimekumbuka mbali kweli!
Nilishawahi mwambia dada mmoja hivi, 'tukatiane chungwa'!!
Duh! Jicho lilimtoka mithili ya panya aliyebanwa na mlango!
Tehe tehe....ilikua ngumu kukuelewa kwa haraka
halafu sasa kibaya zaidi.. nilipomwambia 'tukatiane chungwa',
ilkuwa ni mbele za watu.. halafu hata chungwa wala kisu sina!!!
sister alikuwa bubu ghafla!!
Daaah,asa mkaishia vip hapo? Maskini sister wa watu
Eti mtu akikupenda na wewe ukimpenda si MNAPENDANA?
Kuti´ianaNielimishe kama unalifahamu mie linanisumbua sana hili neno, utasikia watu wazima wanasema "huu muwa tukatane"!