Kupenda unavyopenda: Hizi kingo ni za nini?

I guess unakuwa hujampenda mtu unakuwa umependa convinience. Namaanisha hujapenda vits,umependa fuel consumption yake.Ila roho iko kwenye bmw,lol! Ila siko sober sana,usije-uka-implement ikala kwako mkuu :roll: manake nshaanza wknd mie
hahahahahahaa!!:popcorn::popcorn::popcorn::popcorn:
 
See...? Thats (ooh my nilitaka kuandika nini tena hapa)

I mean, then if we consider the social aspect... we can 'construct and deconstruct' it accordingly, can't we?

We can Kaizer,as long as we are prepared to face the consequences. Hapo mpango mzima ni kujaribu ku-predict (i mean just predict...) ikiwa hivi itakuwaje na isipokuwa itakuwaje. Unaona sasa,na mm nimesahau nilitaka kuandika nini tena!
 
Eeheee!!! sasa unaanza kuelekea kwenye point yangu ya unapenda nini sio unapenda sana........sasa turudi kwenye hoja, kupenda vitz na benz kwa tofauti zake inakuja nachurale? kwa hiyo kama unaishi usalule, unahitaji 4 WD, je ukiwa na 2WD kwa wakati huo, utaipenda kwa vile inakula mafuta kidogo? na je itakuwa nachurale?

BACK TO BASICS: inawezekana kupenda 1+ kwa convinience (hapa si sawa na kubadili mboga, ieleweke vizuri) ni swala la matumizi na satisfaction derived from aina ya matumizi uliyoichagua.
Now, kwasababu human being sio magari, wana feeling, tufanye Vitz na Benz zingekuwa na feelings, je moja ingejisikia kupendwa zaidi na nyingine ingejisikiaje?.....Je wewe unakuwa unajisikiaje kuhusu kujisikia kwa Vitz sasa!!

Heheheheeee,ngoja kwanza ntarudi kama foleni haitabana sana.
 
Eeheee!!! sasa unaanza kuelekea kwenye point yangu ya unapenda nini sio unapenda sana........sasa turudi kwenye hoja, kupenda vitz na benz kwa tofauti zake inakuja nachurale? kwa hiyo kama unaishi usalule, unahitaji 4 WD, je ukiwa na 2WD kwa wakati huo, utaipenda kwa vile inakula mafuta kidogo? na je itakuwa nachurale?

BACK TO BASICS: inawezekana kupenda 1+ kwa convinience (hapa si sawa na kubadili mboga, ieleweke vizuri) ni swala la matumizi na satisfaction derived from aina ya matumizi uliyoichagua.
Now, kwasababu human being sio magari, wana feeling, tufanye Vitz na Benz zingekuwa na feelings, je moja ingejisikia kupendwa zaidi na nyingine ingejisikiaje?.....Je wewe unakuwa unajisikiaje kuhusu kujisikia kwa Vitz sasa!!



Nimejifunza uvumilivu
Sasa nina busara zaidi
 
Uwehu ndo unaanzaga ivoivo... kwanza hii mada umeiweka kimahabamahaba wakati tunajadili vitu serious vya kisiasa hapa... unataka kupenda ccm na cdm kwa sababu baada ya c ni d? au unataka kumpenda juma na asha... ufaidi vyote kote kote wakati wote? HUOGOPI UKIMWI.. SORE, HUOGOPI KUITWA MWANAINTELIJENSIA WA UPANDE MWINGINE?

PS. maoni yangu yanachanganywa na kutoelewa tunaongea siasa au usharobaro!!!

Which one would you prefer, to be IGNORED or to be CRITICIZED........?
:cool::mad2:
 
Inashushwa na makingo au? we need zem jokes sometime au sio

tatizo lako hujazoea utani.....inashushwa na makingo.....tuyatoe tu watu tuishi kwa raha hapa duniani....fanya roho ipendacho!!!!
 
tatizo lako hujazoea utani.....inashushwa na makingo.....tuyatoe tu watu tuishi kwa raha hapa duniani....fanya roho ipendacho!!!!

The Following User Says Thank You to Michelle For This Useful Post:

GY (Today)​
 
Eeheee!!! sasa unaanza kuelekea kwenye point yangu ya unapenda nini sio unapenda sana........sasa turudi kwenye hoja, kupenda vitz na benz kwa tofauti zake inakuja nachurale? kwa hiyo kama unaishi usalule, unahitaji 4 WD, je ukiwa na 2WD kwa wakati huo, utaipenda kwa vile inakula mafuta kidogo? na je itakuwa nachurale?

BACK TO BASICS: inawezekana kupenda 1+ kwa convinience (hapa si sawa na kubadili mboga, ieleweke vizuri) ni swala la matumizi na satisfaction derived from aina ya matumizi uliyoichagua.
Now, kwasababu human being sio magari, wana feeling, tufanye Vitz na Benz zingekuwa na feelings, je moja ingejisikia kupendwa zaidi na nyingine ingejisikiaje?.....Je wewe unakuwa unajisikiaje kuhusu kujisikia kwa Vitz sasa!!

You have nailed it....aisee mkimuona aspirin mwambieni ye ndo mchizzzz wangu...
 
We can Kaizer,as long as we are prepared to face the consequences. Hapo mpango mzima ni kujaribu ku-predict (i mean just predict...) ikiwa hivi itakuwaje na isipokuwa itakuwaje. Unaona sasa,na mm nimesahau nilitaka kuandika nini tena!

Well...King'asti, Consequesnces ni results za hiyo change au siyo...Kama sisi as a society over a long time inakubalika kwamba kupenda 1+ ni kitu cha kawaida, definately hakutakuwa na consequences 'mbaya' kwa sababu ndivyo 'jamii ilivokubaliana' au sio

hivi umesema upo baa gani sa ivi nije (hapa GY kakataza kutumia neno letu lile la KIKATIBA)
 
Well...King'asti, Consequesnces ni results za hiyo change au siyo...Kama sisi as a society over a long time inakubalika kwamba kupenda 1+ ni kitu cha kawaida, definately hakutakuwa na consequences 'mbaya' kwa sababu ndivyo 'jamii ilivokubaliana' au sio

hivi umesema upo baa gani sa ivi nije (hapa GY kakataza kutumia neno letu lile la KIKATIBA)

Makingo taliyojiwekea yanakula kwetu sasa..........unajua moyo uu strong kuliko katiba?
 
:coffee::coffee::coffee::coffee::coffee: Will be back! u know waraaimini!

hizi kingo wanasema zinainvite ustaarabu. Lakini individual interest ni kwamba first choice ni best kuliko second but context analysis ni bora limitation mi sizitaki sema tu. Sufferings exist just b'cause weakness exists to solve this lets hate weaknes to our friends but mostly in us.
 
Well...King'asti, Consequesnces ni results za hiyo change au siyo...Kama sisi as a society over a long time inakubalika kwamba kupenda 1+ ni kitu cha kawaida, definately hakutakuwa na consequences 'mbaya' kwa sababu ndivyo 'jamii ilivokubaliana' au sio

hivi umesema upo baa gani sa ivi nije (hapa GY kakataza kutumia neno letu lile la KIKATIBA)

Ngoja niangalie kwanza jina manake wakati nikiingia hapa niliona bango la kili tu.Ila inabidi uje na katiba niipitie kwanza manake mie mgeni bado eeh:A S-alert1:
 
Naiba GY...

sizipendi kweli kingo hizo, lakini tutafanyaje na wao bila kuta hawalali?

Sasa hapo ndo ukarimu unapoanzia,kama kingo zinampa mwenzio usingizi,ya nini kumkatiliii?Na akiwa na raha yeye ndo umepata wewe,ama sio?
 
Back
Top Bottom