Kupenda unavyopenda: Hizi kingo ni za nini?

Inawezekana sana tu.......ila kusiwe na strings attached.
Tatizo hapa ni hizi sheria tulizojiwekea.......mambo ya huyu ni wangu peke yangu nafikiri ni highest degree ya selfishness tuliyonayo binadamu....
Kwa hiyo, mambo ya sio fair, dahmbi na mengine kama hayo ndo yanaleta shida.........BUT, inawezekana. tukiachia mbali the fact kwamba baada ya hapo itafuata unapenda nn kwa huyu na unapenda nn kwa yule........mambo ya unapenda sana hayapo.....Unapenda nini zaidi YES!

Aisee Bigi toka ulivojifunza uvumilivu umekuwa na busara sana......nilitaka sana mtu mmoja aseme kitu fulani muhimu, na bahati umekisema....haya mambo ya huyu ni wangu tuu ndo yanaleta shida sana haya....it is indeed the highest degree of human's selfishness....

kwakweli mimi nimemaanisha kupenda kama kupenda bila kujali jinsia....yaani wanaume kupenda 1+ na wanawake ivoivo....

Tuendelee kujadili tukiwa soba
 
Wajameni namwomba Teamo atuwekee tena zile "sheria mama za infidelity" ama tuirudishe ile topic naona hapa inahusu

GY.....kawaida binadamu tunakuwa na kautaratibu tulikojiwekea ka namna ya maisha na jinsi tunavointeract na wenzetu..sasa basi kama hizi taratibu, kanuni, sheria, miiko, mila nk inaonekana haina maana, inafika mahali inapoteza uhalali wake, na mpya zinachukua nafasi yake....'institutions do evolve and change with time'..
 
Kuna haja ya kutofautisha kati ya kupenda na conveniences (hata sijui kiswahili chake). Unaweza kudhani unawapenda zaidi ya mmoja kumbe unampenda mmoja tu na huko kwingine ni convenient (sijui ndo muafaka...) kwa ajili ya kitu kimoja ama viwili. Hapa naongelea kwa wanaume na wanawake pia bila kupendelea.

Kuna point hapo ila sijaipata king'asti, convinience kwa maana ya convinience inaingiaje hapa....inamaana huwezi pata convinience kwa mmoja...na hiyo convinience inakuja nachurali kama ambavyo tunatembea kwa kutumia miguu sio masikio au?
 
Wajameni namwomba Teamo atuwekee tena zile "sheria mama za infidelity" ama tuirudishe ile topic naona hapa inahusu

GY.....kawaida binadamu tunakuwa na kautaratibu tulikojiwekea ka namna ya maisha na jinsi tunavointeract na wenzetu..sasa basi kama hizi taratibu, kanuni, sheria, miiko, mila nk inaonekana haina maana, inafika mahali inapoteza uhalali wake, na mpya zinachukua nafasi yake....'institutions do evolve and change with time'..

Bob hebu sasa kwa kutumia mtizamo wako tueleze msimamo wako.......je twachagua asili for taratibu tulizojiwekea au?
 
Kuna point hapo ila sijaipata king'asti, convinience kwa maana ya convinience inaingiaje hapa....inamaana huwezi pata convinience kwa mmoja...na hiyo convinience inakuja nachurali kama ambavyo tunatembea kwa kutumia miguu sio masikio au?
Sijui niiwekeje,maybe kwa magari: Vits convinience yake haikuli mafuta sana na spares labda ni bei rahisi, ila shida mwendokasi na comfortability. Tukienda kwa benzi iko comfortable na mwendo pia,status juu,issue mafuta na spares. Hapo vipi?Sasa nadhani ndo kuna watu wanakuwa nazo sote,na wanazipenda kwa sababu tofauti,ila sasa benzi ni ya wknd,vits ya siku za kazi....kuna swali la nyongeza mkuu?
 
Kuna haja ya kutofautisha kati ya kupenda na conveniences (hata sijui kiswahili chake). Unaweza kudhani unawapenda zaidi ya mmoja kumbe unampenda mmoja tu na huko kwingine ni convenient (sijui ndo muafaka...) kwa ajili ya kitu kimoja ama viwili. Hapa naongelea kwa wanaume na wanawake pia bila kupendelea.
Karibu........
Hivi wakati ukiwa na muafaka....sijui ndo convinient??!! unakuwa unajisikia kuwa unapenda au inakuwa just because ni convinient kwa wakati huo (kupenda hapa ni jambo kubwa zaidi)
 
Tatizo maswala ya fairness ni Kingo hiyo tuliyojiwekea wenyewe!
In the second thought........hivi wivu ni kingo iliyo nje au ndani yetu!! hivi nayo ni sheria and shaaaryia binafsi?
Halafu, hapa GY unaongelea mwanaume kupenda wanawake 2+ au Mwanamke kupenda wanaume 2+? yani hujataka kujipendelea hapa?
Hivi ehh?From now on no limitations for me!Kuna nafasi iko wazi...unaitaka!?
 
Sijui niiwekeje,maybe kwa magari: Vits convinience yake haikuli mafuta sana na spares labda ni bei rahisi, ila shida mwendokasi na comfortability. Tukienda kwa benzi iko comfortable na mwendo pia,status juu,issue mafuta na spares. Hapo vipi?Sasa nadhani ndo kuna watu wanakuwa nazo sote,na wanazipenda kwa sababu tofauti,ila sasa benzi ni ya wknd,vits ya siku za kazi....kuna swali la nyongeza mkuu?

Umesomeka sasa....kwahiyo kuwa na vitz, benzi, pawa tila, tukutuku, na hata guta is nachurali okeeeee, but soshali wrong au unaonaje mkuu?
 
Hakuna.
Kuna kupenda na kutokuwa sure kama unapenda...hakuna kupenda kidogo, kupenda then kupenda sana!
Kwani kupenda in Overdrive?

Ndio kuna kupenda sana na kupenda kidogo!Ndo maana hata kati ya marafiki zako kuna unawathamini na kuwajali zaidi ya wengine..yote inatokana na mapenzi uliyonayo juu yao!
 
Wajameni namwomba Teamo atuwekee tena zile "sheria mama za infidelity" ama tuirudishe ile topic naona hapa inahusu

GY.....kawaida binadamu tunakuwa na kautaratibu tulikojiwekea ka namna ya maisha na jinsi tunavointeract na wenzetu..sasa basi kama hizi taratibu, kanuni, sheria, miiko, mila nk inaonekana haina maana, inafika mahali inapoteza uhalali wake, na mpya zinachukua nafasi yake....'institutions do evolve and change with time'..

Jamani naomba hili neno tusilitaje kwenye hii sredi, litachafua hali ya hewa na mjadala utahama
 
Inawezekana sana tu.......ila kusiwe na strings attached.
Tatizo hapa ni hizi sheria tulizojiwekea.......mambo ya huyu ni wangu peke yangu nafikiri ni highest degree ya selfishness tuliyonayo binadamu....
Kwa hiyo, mambo ya sio fair, dahmbi na mengine kama hayo ndo yanaleta shida.........BUT, inawezekana. tukiachia mbali the fact kwamba baada ya hapo itafuata unapenda nn kwa huyu na unapenda nn kwa yule........mambo ya unapenda sana hayapo.....Unapenda nini zaidi YES!



YEES, naungana na wewe Big kwa hili,
Unaweza kupenda zaidi ya mmoja, inategemea na ulichokipenda kwa muhusika,
Kama unavyojua Binadamu hatujakamilika kitabia, kimaumbile n.k,
ulichokikosa wewe, kwa mwenzako kimejaa tele,

Macho hayakatazwi kuona kila kinachopita mbele yake,
moyo hauzuiwi kukubali strength au weakness za mtu,
haya mengine ni makando tu tuliyojiwekea hapa duniani,
kwamba cha kwako ni chako, na ukipende hicho katika hali zote,
Lakini kiujumla, YES, waweza kupenda zaidi ya mmoja,
kutegemeana na ulichokihitaji kwa wakati na mazingira muafaka!!!!!
 
hapana jamani, tusichanganye kupenda na kupenda sana, unaweza kupenda watatu ila mmoja ukampenda sana

Definitely, exactly, Agreed! Here is the real answer!!!! Ni kama ufaulu kwenye mitihani, kuna anayepata 99%, 90%, 88% 85% lakini zote ni alama 'A'.
 
Bob hebu sasa kwa kutumia mtizamo wako tueleze msimamo wako.......je twachagua asili for taratibu tulizojiwekea au?


bob GY....ni vigumu sana kusema kwamba hiki kitu ni 'cha asili' in the strict sense ujue...kila kitu kinachange tu.....
 
Sijui niiwekeje,maybe kwa magari: Vits convinience yake haikuli mafuta sana na spares labda ni bei rahisi, ila shida mwendokasi na comfortability. Tukienda kwa benzi iko comfortable na mwendo pia,status juu,issue mafuta na spares. Hapo vipi?Sasa nadhani ndo kuna watu wanakuwa nazo sote,na wanazipenda kwa sababu tofauti,ila sasa benzi ni ya wknd,vits ya siku za kazi....kuna swali la nyongeza mkuu?


Goood.....:clap2:
 
YEES, naungana na wewe Big kwa hili,
Unaweza kupenda zaidi ya mmoja, inategemea na ulichokipenda kwa muhusika,
Kama unavyojua Binadamu hatujakamilika kitabia, kimaumbile n.k,
ulichokikosa wewe, kwa mwenzako kimejaa tele,

Macho hayakatazwi kuona kila kinachopita mbele yake,
moyo hauzuiwi kukubali strength au weakness za mtu,
haya mengine ni makando tu tuliyojiwekea hapa duniani,
kwamba cha kwako ni chako, na ukipende hicho katika hali zote,
Lakini kiujumla, YES, waweza kupenda zaidi ya mmoja,
kutegemeana na ulichokihitaji kwa wakati na mazingira muafaka!!!!!

The bitter truth
 
Karibu........
Hivi wakati ukiwa na muafaka....sijui ndo convinient??!! unakuwa unajisikia kuwa unapenda au inakuwa just because ni convinient kwa wakati huo (kupenda hapa ni jambo kubwa zaidi)

I guess unakuwa hujampenda mtu unakuwa umependa convinience. Namaanisha hujapenda vits,umependa fuel consumption yake.Ila roho iko kwenye bmw,lol! Ila siko sober sana,usije-uka-implement ikala kwako mkuu :roll: manake nshaanza wknd mie
 
bob GY....ni vigumu sana kusema kwamba hiki kitu ni 'cha asili' in the strict sense ujue...kila kitu kinachange tu.....

naomba ili tuwe kwenye mstari mmoja, asili hapa isimame kwa mambo ambayo binadamu hatuna control nayo, kama nilivyosema hatuwezi kufikiri kwa kutumia kisigino hata kama tungependa kufanya hivyo....

Then turudi kwenye hoja bob
 
Back
Top Bottom