fazaa
JF-Expert Member
- May 20, 2009
- 2,984
- 1,026
Eee ndugu jana jua kali tulikuwa uwanjani tunashangilia Oman ilivyo ichapa Thailand 2-0 na tume qualified to round 4... tukipita huko ni Brasil 2014, moja kwa moja nategemea tutafika tu.
Yani FIFA wametulazimisha tucheze mchana na tumekatazwa hata kuingia na maji ndani ya uwanja, lakini kwa kupenda nchi yetu hatukujali, na tukamtumia message Fifa president, Sepp Blatter nadahni ataisoma tu.
Natoa tu mfano wa kupenda, sio lazima upende mwanamke, give us congratulation please kama hamtaki hakuna shida hata kwa kimoyo moyo ujumbe utafika tu....:biggrin:
Yani FIFA wametulazimisha tucheze mchana na tumekatazwa hata kuingia na maji ndani ya uwanja, lakini kwa kupenda nchi yetu hatukujali, na tukamtumia message Fifa president, Sepp Blatter nadahni ataisoma tu.
Natoa tu mfano wa kupenda, sio lazima upende mwanamke, give us congratulation please kama hamtaki hakuna shida hata kwa kimoyo moyo ujumbe utafika tu....:biggrin:
Last edited by a moderator: