Kupeleka watoto wachanga chekechea imekuwa kama fasheni

Tafuta mtu mzima ambaye hana majukumu kama hayo.
Ila ukiangalia kwa makini kila sehemu ina weakness zake,hizo daycare sometimes nazo zina mambo ya ajabu sana ambayo ni afadhali mtoto abaki nyumbani na beki 3,lakini pia mtoto akikaa nyumbani atajifunza bongo fleva mpaka basi....
Hakuna kizuri kisicho na faida.
Ni hivi mkuu watu wanawanyanyapaa wadada hafu wanalaumu wenyewe hawajui wale ile hali si kwamba anaipenda imemtokea tu kwa majaaliwa yeye kuzaliwa wasiojiweza
Kuna mtu apo kasema kamchukua mtoto wa. Wifiake kajitolea kumsomesha na kawa msaada mkubwa kwake nnahakika ata huyo akipuuzwa na kumuonyesha kua si mwana family mtamfukuza pia mpe mfanyakazi heshima kama mwana family utainjoy na makosa nisehem za kibina adam hata mdogo wako anaweza kukosea na yakaisha bila shida kuuubwa yakufa mtu akumbuke dhiki zake mtu kabamiza mlango tu mitusi mpaka mtaa wa 2 lazima aendelee kukosea huyo
 
Chagua kuacha kazi za kuleta malezi mazuri kwa mtoto au baki naye akuimbie nyimbo zote zizizo za staa zinazosikilizwa hapo nyumbani wakati haupo. Hakuna kitu kuchoka shule mtoto ubongo unauwezo wa kujifunza kuanzia siku ya kwanza kwahiyo weka mbegu nzuri mapema anze kuandika unashangaa nchi za watu mtu 18 amemaliza chuo sasa wewe mpeleke mtoto shule na miaka mitano halafu chou miaka 26 uone huko baadaye inakuwaje. Mabadiliko ni lazima kizazi mpaka kizazi

Hawana hela hawa ya kusomesha watoto ndio maana wanapiga kelele au hawajazaa hawajui kero za madada au ni wapenda bongo flovour wanataka mtoto ukiludi umkute anaimba taarab
 
Kabisa, fanya hivyo mkuu. Bora kubali kuingia hiyo gharama lakini watoto wanalelewa na ndugu. It makes all the difference in the world.
Basi mkuu hata mdada ukimpenda kama ndugu humkaripii hovyo malipo mazuri hamu bagui lazima awe na heshima mkuu kuwazarau ndo husababisha wafanye malipizi mkuu
 
nlikua na mtu mzima mara ya mwisho
akirudi nyumbani mapema ni saa nne usiku siku ya.mwisho kaja tisa usiku.....huyo ni beki tatu
na alitoka saa moja akamuacha mtoto ndani peke ake sitaki beki tatu kwa sasa
Huyu alitafuta pakuegemea huyu ha ha haa wala hakua mkazi
 
Upo!!heri ya mwaka mpya...tena unakuta kanachukuliwa na gari alfajiri eti kwenda shule...mtoto anaamshwa saa 11 au hata 10 alfajili ili asichelewe basi...halafu basi linafika shule saa 2!!
Frankly speaking ni kuwatesa watoto.
 
Hujui kulea wewe Mimi kwenyewe nashinda nao weekend tu dada akiwa kaenda kwenye darasa lake la ushonaji na nnachemka mtoto wa miaka 2 na mwingine miezi 7 umuachie MTU mmoja kutwa nzima unadhani ni kazi nyepesi!?? bora Huyo mmoja aende akabembee bembee huko na bahati nzuri Day care yenyewe haiko umbali mrefu toka nyumbani
Mvivu wewe usinge unganisha
 
Yani wee mgeni nahumu tajiri tupo humu kasolo mimi tu
watu tuna vimishahara vya laki mbili mnapigia debe wadada tuwape hela.kubwa itabidi tuwakabidhi atm cards ili chenji za mishahara zikiingia wachukue zote afu tutakula upepo
 
ndo maana nasema hgs ni adha ila ukisema hivo watu wanaanza ooh hamuwatreat vizuri bla bla bla
mi nshawanyooshea mikono sihitaji beki tatu asee nitaishi mwenyewe tu

Ila wengine wako poa lakini matajirizao sasa anataka aonekane mtaa mzima yeye ni nani kwake apo ndo kuonyeshana kuna anzia hapo
 
Basi mkuu hata mdada ukimpenda kama ndugu humkaripii hovyo malipo mazuri hamu bagui lazima awe na heshima mkuu kuwazarau ndo husababisha wafanye malipizi mkuu
Aah wapi mkuu! Wale watu hawana formula, tena huko wanapo baguliwa na mpaka kupigwa ndipo wanapo dumu kishenzi. Wanapokuta mazingira mabovu ndipo wanapo feel at home, trust me.
 
Aah wapi mkuu! Wale watu hawana formula, tena huko wanapo baguliwa na mpaka kupigwa ndipo wanapo dumu kishenzi. Wanapokuta mazingira mabovu ndipo wanapo feel at home, trust me.
Kumbe dawa kuwadunda tu ha ha haaa fanya ivo mkuu
 
Back
Top Bottom