Kupatwa kwa jua ni tarehe 25 Oktoba, 2022

Mzawa_G

JF-Expert Member
Feb 27, 2014
667
1,467
25 Oct kutakuwa na tukio la kupatwa kwa Jua letu ambapo tukio hilo litakuwa ni dogo sana " Partial solar eclipse " yaani halitakuwa la kufanya jua lisiweze kuonekana kataka maeneo yote ambayo tulio hilo litakapoweza kutokea

Kupatwa kwa Jua hutokea pale pindi Jua mwezi na dunia vikiwa vimejipanga katika mstari mmoja uliokuwa mnyoofu huku mwezi ukiwa kati ya dunia na Jua letu , ambapo mwezi huweza kukinga mwanga wa jua kuweza kufika katika eneo fulani dunia katika nyakati fulani za mchana wa jua kali

Partial solar eclipse tunaweza kukielezea kitendo hichi kama ifuatavyo , wakati wa kupatwa kwa jua katika eneo fulani mwezi unakuwa hauzibi mwangaza wa jua au hauzibi jua kuweza kuonekana kwa umbo lake lote kama tulivyozoea ila huwa inaziba baadhi ya eneo lake dogo sana au nusu na huwa tukio zima halidumu kwa muda mrefu sana bali huwa tukio la muda mfupi

Maeneo yatakayoweza kuona tukio hili ni yale ya Asia , Middle east kwenye nchi zake zote zile , Ulaya mashariki na baadhi ya maeneo ya Ulaya Magharibi bila kusahau maeneo ya Afrika Kaskazini na kuelekea kidogo afrika ya Mashariki katika nchi za Sudani

#Gerald #Tanzaniascienceyetu #Elimuyaangazambali
FB_IMG_1665748430434.jpg
 
25 Oct kutakuwa na tukio la kupatwa kwa Jua letu ambapo tukio hilo litakuwa ni dogo sana " Partial solar eclipse " yaani halitakuwa la kufanya jua lisiweze kuonekana kataka maeneo yote ambayo tulio hilo litakapoweza kutokea

Kupatwa kwa Jua hutokea pale pindi Jua mwezi na dunia vikiwa vimejipanga katika mstari mmoja uliokuwa mnyoofu huku mwezi ukiwa kati ya dunia na Jua letu , ambapo mwezi huweza kukinga mwanga wa jua kuweza kufika katika eneo fulani dunia katika nyakati fulani za mchana wa jua kali

Partial solar eclipse tunaweza kukielezea kitendo hichi kama ifuatavyo , wakati wa kupatwa kwa jua katika eneo fulani mwezi unakuwa hauzibi mwangaza wa jua au hauzibi jua kuweza kuonekana kwa umbo lake lote kama tulivyozoea ila huwa inaziba baadhi ya eneo lake dogo sana au nusu na huwa tukio zima halidumu kwa muda mrefu sana bali huwa tukio la muda mfupi

Maeneo yatakayoweza kuona tukio hili ni yale ya Asia , Middle east kwenye nchi zake zote zile , Ulaya mashariki na baadhi ya maeneo ya Ulaya Magharibi bila kusahau maeneo ya Afrika Kaskazini na kuelekea kidogo afrika ya Mashariki katika nchi za Sudani

#Gerald #Tanzaniascienceyetu #ElimuyaangazambaliView attachment 2386952
The Prophet Muhammad (s.a.w) said, "The sun and the moon do not eclipse because of the death or life (i.e. birth) of someone but they are two signs amongst the signs of Allah. When you see them offer the prayer."

Mtume Muhammad (s.a.w) amesema, "Jua na mwezi havipatwi kwa sababu ya kufa au kuishi (yaani kuzaliwa) kwa mtu bali ni ishara mbili miongoni mwa alama za Mwenyezi Mungu. MUonapo hizo ishara, basi swalini"
 
The Prophet Muhammad (s.a.w) said, "The sun and the moon do not eclipse because of the death or life (i.e. birth) of someone but they are two signs amongst the signs of Allah. When you see them offer the prayer."

Mtume Muhammad (s.a.w) amesema, "Jua na mwezi havipatwi kwa sababu ya kufa au kuishi (yaani kuzaliwa) kwa mtu bali ni ishara mbili miongoni mwa alama za Mwenyezi Mungu. MUonapo hizo ishara, basi swalini"
Sawa
 
Mwezi huakisi mwanga wa jua letu sasa katika nyakati za kupatwa kwa jua mwezi hukosa kabisa kung'aa katika baadhi ya maeneo au hubadilika rangi na huwa mwekundu kabisa ,

Mwezi wetu huweza kuhakisi mwanga wa jua kwa kutokea kwa pembeni mbali kabisa ndio maana tunaweza kuuona sisi tulioko duniani yaani kama utakwenda katika eneo la katika ya jua au dunia yetu basi huweza kusababisga matokeo ya matukio mawili kupatwa kwa jua au kupatwa kwa mwezi wenyewe

Mwangaza wa jua unapogonga katika uso wa gimba lolote lile husababisha matokeo ya gimba husika kuakisi mwanga na kufanya gimba hilo kuonekana katika maeneo mengine mbalimbali ya ulimwengu wetu huu

Chini ni picha inayoonyesha ni jinsi gani tukio la kupatwa kwa jua linavyokuwa hapo unaweza kuona mwezi umeziba kabisa eneo lote la jua linaloleta mwangaza huku duniani
 
Back
Top Bottom