NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,286
- 24,001
Kuna ambazo hazitoki mpaka uende polisi kuthibitisha na kuna ambazo zinatoka hata bila kwenda polisi.
weka link pleaseNi hivi, loss report inapatikana online mwanzo mwisho. Huna haja ya kwenda kituo cha polisi kupanga foleni.
Mwanzo swala hili lilikua kama ni nightmare coz lilikuwa linainvolve alot of excessive procedures ambazo zilicost muda na fedha. Now just your smartphone shughuli imeisha.
Hongera sana, taasisi nyingine muige huo mfano.
Jana tuu nimetoka polisi ku confirm,tuambie ukipata control namba utapataje RB kama hujaenda Polisi? pia huwei ku ku download loss report kama hujathibitishwa na polisi ana kimashine fulaniHiyo ya kuconfirm imeondoka na mwendazake..now unamaliza mwenyewe
FafanuaKuna ambazo hazitoki mpaka uende polisi kuthibitisha na kuna ambazo zinatoka hata bila kwenda polisi.
weka link please
Loss report inakua na Rb number kabisa...ukiprint inakupa details zote..Jana tuu nimetoka polisi ku confirm,tuambie ukipata control namba utapataje RB kama hujaenda Polisi? pia huwei ku ku download loss report kama hujathibitishwa na polisi ana kimashine fulani
asnte hapa inaonekana kama vile mtu ameshatuma taarifa za mali iliyopotea na sasa anapata majibu. Nataka kutuma kutoa taarifa ya kupotea kwa say leseni yangu ya udereva.Nafanyaje, where do I log inTafuta Ripoti
lormis.tpf.go.tz
Unatengeza account kwanza...you must have valid identity kama leseni..kura au kitambukisho cha taifa..after zati unajimwaga tu.asnte hapa inaonekana kama vile mtu ameshatuma taarifa za mali iliyopotea na sasa anapata majibu. Nataka kutuma kutoa taarifa ya kupotea kwa say leseni yangu ya udereva.Nafanyaje, where do I log in
Yuko sahihi kwa loss report ya vitu vidogo vidogo kama laini ya simu, vitambulisho nk.Umehadithiwa hujawahi kufanya hiyo kitu, baada ya process zote polisi lazima
Kwa sasa ukitumia Kitambulisho cha Nida (Kujaza taarifa wakat wa kuomba Loss report), unamaliza mwenyewe kupata loss report.Yuko sahihi kwa loss report ya vitu vidogo vidogo kama laini ya simu, vitambulisho nk.
Lakini ni mpaka utambulisho wako uthibitishwe kwa kutumia kitambulisho cha NIDA, kisha ndo utaweza kujiprintia tu mwenyewe loss report.
Si kweli labda Kama kunavitu vingine...mm niliwahi kupoteza bima ya afya ya mtoto wangu nilifanya kilakitu nyumbani kwangu nikaingiza namba zangu za KITAMBUISHO Cha taifa nikalipia 500 nikaprint nikaenda bima kuomba kadi nyingine Wala uko polisi sikukanyagaUmehadithiwa hujawahi kufanya hiyo kitu, baada ya process zote polisi lazima
Kaka huna kitambulisho taifa ndo utaenda kukonfirm Kama unacho unamaliza mwenyewe tu kwa vitu vidogo Kama vitambulishiLazima police uka confirm, kwahiyo hakna mabadiliko yeyote.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Jaza vizuri taarifa ya NIDA itakubaliNimejaza taarifa kwa namba ya nida lakini naambiwa hivyo 👇View attachment 1808801
Hawa polisi makanjanja sana, Tangu jemdari Hayati Magufuli afariki, wamerudia ugoigoi wao, vijana wa SIRRO wanamuabisha sana.Nimejaza taarifa kwa namba ya nida lakini naambiwa hivyo 👇View attachment 1808801