Kupata Visa Ubalozi Wa Misri Ni Noma

Kabwela

Member
Feb 11, 2008
76
5
Wa Tanzania tumefanywa vihoja kwani kwa sasa Mtu mwenye passport (Hati ya kusafiria) ya Tanzania inamchukua wiki TANO (5) kupata VISA ya kwenda MISRI wakatiwenye hati za nchi nyingine ni siku TANO za KAZI. Je MISRI waTZ hatutakiwi au wao ndio wanatufanyia Ufisadi????

Kuna Tetesi kuwa kuna Mtaalamu MMOJA toka Misri ilikuwa aje kufundisha watu wa IT BoT moja ya majina yake ni OSAMA amezuiliwa kwani alikuwa anakuja wakati BUSH anakuja Bongo. Kutokana na USANII na usumbufu wanaopata kwao Ubalozini kwetu na jamaa wameamua kutukomoa.

Hivi tume ziundwe kwa kila kitu jamani tutafika bongo!!!!!!!!!1
 
Hawa jamaa ubalozi wao full gofu, wanavuta sigara mwanzo-mwisho system Yao ya kupata viza Ni mtihani kuliko US viza. Niliwahi kuahirisha vacation kwa urasimu wao. Waige mfano wa UAE ukikwea Emirates full exemption
 
Misri wana tabia kama kawaida ya waafrika wengi
Pamoja na kuwa ni taifa lililoendelea zamani lakini bado ni waafrika tu
Serikali iingilie kati na kutatua hili tatizo
 
Wa Tanzania tumefanywa vihoja kwani kwa sasa Mtu mwenye passport (Hati ya kusafiria) ya Tanzania inamchukua wiki TANO (5) kupata VISA ya kwenda MISRI wakatiwenye hati za nchi nyingine ni siku TANO za KAZI. Je MISRI waTZ hatutakiwi au wao ndio wanatufanyia Ufisadi????

Kuna Tetesi kuwa kuna Mtaalamu MMOJA toka Misri ilikuwa aje kufundisha watu wa IT BoT moja ya majina yake ni OSAMA amezuiliwa kwani alikuwa anakuja wakati BUSH anakuja Bongo. Kutokana na USANII na usumbufu wanaopata kwao Ubalozini kwetu na jamaa wameamua kutukomoa.

Hivi tume ziundwe kwa kila kitu jamani tutafika bongo!!!!!!!!!1

Unaenda kutafuta nini? Achana ni hivi vinchi ambavyo vimejipa status ya first world, wakati wako 3rd like all the rest
 
Back
Top Bottom