Sema usemavyo lakini kurithi utajiri Ni Jambo moja na kuendeleza utajiri Ni Jambo la pili wangapi wanarithi mali na kuzitapanya?MTU ALIE RITHI UTAJIRI HUYU NAE KABAHATISHA TU
NdioHello mkuu@ Ben zen tarot
Umesoma kitabu cha "the science of getting rich " cha wallace naona umequote baadhi ya concept zake
Kupata utajiri siyo swala la bahati au ujanja ujanja, bali ni sayansi, kama zilivyo sayansi nyingine. Ili moto uwake unahitaji kupata hewa ya oksijeni, hiyo ni sayansi, kadhalika kuna vitu vinahitajika ili mtu uweze kupata utajiri, hiyo pia ni sayansi.Sayansi ina sheria na kanuni zake, ambazo zikifuatwa basi matokeo yanakuja sawa wakati wote.
Hivyo utajiri pia una sheria na kanuni zake, ambazo mtu akizifuata ataweza kupata utajiri bila ya kushindwa. Uzuri wa sayansi ni kwamba hakuna kubahatisha, ukiweka kitu sahihi na utapata matokeo sahihi, ukiweka kitu ambacho siyo sahihi na matokeo yatakuja ambayo siyo sahihi, Kwa wale mliosoma masomo ya sayansi natumai mnanielewa vizuri.
Watu wengi wamekuwa wakifikiri kupata utajiri ni bahati, na hivyo kushiriki michezo ya kubahatisha na kamari wakiamini ipo siku yao. Rafiki, huwezi kupata utajiri wa uhakika na wa kudumu kupitia michezo ya kubahatisha, usijaribu kufanya hivyo na kama umewahi kufanya basi acha mara moja. Michezo ya kubahatisha siyo kanuni sahihi ya utajiri. Imeandikiwa Utajiri unatengenezwa na vitu viwili vikubwa;
NAMNA YA KUFIKIRI
Kuna namna ya kufikiri ambayo matajiri wanaitumia. Matajiri wana fikra chanya kuhusu fedha na utajiri, hufikiri kuhusu uwezekano na wanajua kuna utele wa chochote wanachokitaka kwenye dunia hii .Matajiri Wanajua dunia ina rasilimali za kutosha na haziwezi kuisha kamwe.
Kwa upande wa pili, masikini wana namna ya kufikiri ambayo inawaweka kwenye umasikini maisha yao yote. Kwanza wanaamini utajiri siyo kitu kizuri, wanajiambia umasikini ndiyo bora.
Pia wanaamini kwenye uhaba,kwamba dunia ina uchache na wachache pekee ndiyo wanaoweza kunufaika na rasilimali chache zilizopo. Kwa kuwa na mtazamo huu, masikini hufikiri ili wao wapate lazima wengine wakose, masikini wengi wao tena ni watu wenye nguvu wasiokuwa na ulemavu wowote ule hutumia andiko hili Kama silaha yao ya kujilinda.
NAMNA YA KUTENDA
Kiungo cha pili cha sayansi ya utajiri ni namna ya kutenda. Wale wanaotajirika wana namna ya kufanya mambo yao ambayo yanawaletea matokeo makubwa na mazuri sana. Wakishapanga kitu cha kufanya, wanachukua hatua mara moja, hawaahirishi kitu na hawaruhusu usumbufu wowote ujitokeze na uwatoe kwenye kile wanachofanya. Watu hawa wana vipaumbele ambavyo wanavisimamia na kufanyia kazi. Na chochote wanachofanya, wanakifanya kwa ubora wa hali ya juu sana. Kwa maana Imeandikiwa
Kwa upande wa pili, masikini wana namna yao ya kutenda mambo ambayo inawafanya waendelee kuwa masikini kwa maisha yao yote. Kwanza kabisa hawajui wanataka nini, hivyo muda wote wako ‘bize’ harakati zao hazina tofauti sana na harakati za Inzi lakini hakuna matokeo makubwa wanayopata kutokana na ubize wao.
Pili Masikini ni wazuri sana kwenye kuahirisha mambo, wanapanga wenyewe vitu vya kufanya lakini unapofika wakati
wa kufanya utasikia wanajiambia Nitafanya kesho. Imeandikiwa masikini wamezungukwa na kila aina ya usumbufu na hawataki kupitwa na jambo lolote katika maisha yao, hali hii inawachosha hata kabla hawajafanya kazi. Na hata pale wanapofanya kazi, wanaifanya kwa ukawaida sana, kama vile hawataki. Kwa tabia hii utajiri kwao wataendelea kuusoma kwenye magazeti na kuuona kwenye TV.
INAWEZEKANA SSB YUKO HUMU JF NDO KALETA ANDIKO HILIUkute mtoa mada nawe pia ni maskini, wa kutupa.
Haya mambo haya hayana wasemaji:
Hii yaweza kuwa kubwa sana kwa wengi hapa na ukiwaambia hii ni sayansi wanachanganyikiwa.Kupata utajiri siyo swala la bahati au ujanja ujanja, bali ni sayansi, kama zilivyo sayansi nyingine. Ili moto uwake unahitaji kupata hewa ya oksijeni, hiyo ni sayansi, kadhalika kuna vitu vinahitajika ili mtu uweze kupata utajiri, hiyo pia ni sayansi.Sayansi ina sheria na kanuni zake, ambazo zikifuatwa basi matokeo yanakuja sawa wakati wote.
Hivyo utajiri pia una sheria na kanuni zake, ambazo mtu akizifuata ataweza kupata utajiri bila ya kushindwa. Uzuri wa sayansi ni kwamba hakuna kubahatisha, ukiweka kitu sahihi na utapata matokeo sahihi, ukiweka kitu ambacho siyo sahihi na matokeo yatakuja ambayo siyo sahihi, Kwa wale mliosoma masomo ya sayansi natumai mnanielewa vizuri.
Watu wengi wamekuwa wakifikiri kupata utajiri ni bahati, na hivyo kushiriki michezo ya kubahatisha na kamari wakiamini ipo siku yao. Rafiki, huwezi kupata utajiri wa uhakika na wa kudumu kupitia michezo ya kubahatisha, usijaribu kufanya hivyo na kama umewahi kufanya basi acha mara moja. Michezo ya kubahatisha siyo kanuni sahihi ya utajiri. Imeandikiwa Utajiri unatengenezwa na vitu viwili vikubwa;
NAMNA YA KUFIKIRI
Kuna namna ya kufikiri ambayo matajiri wanaitumia. Matajiri wana fikra chanya kuhusu fedha na utajiri, hufikiri kuhusu uwezekano na wanajua kuna utele wa chochote wanachokitaka kwenye dunia hii .Matajiri Wanajua dunia ina rasilimali za kutosha na haziwezi kuisha kamwe.
Kwa upande wa pili, masikini wana namna ya kufikiri ambayo inawaweka kwenye umasikini maisha yao yote. Kwanza wanaamini utajiri siyo kitu kizuri, wanajiambia umasikini ndiyo bora.
Pia wanaamini kwenye uhaba,kwamba dunia ina uchache na wachache pekee ndiyo wanaoweza kunufaika na rasilimali chache zilizopo. Kwa kuwa na mtazamo huu, masikini hufikiri ili wao wapate lazima wengine wakose, masikini wengi wao tena ni watu wenye nguvu wasiokuwa na ulemavu wowote ule hutumia andiko hili Kama silaha yao ya kujilinda.
NAMNA YA KUTENDA
Kiungo cha pili cha sayansi ya utajiri ni namna ya kutenda. Wale wanaotajirika wana namna ya kufanya mambo yao ambayo yanawaletea matokeo makubwa na mazuri sana. Wakishapanga kitu cha kufanya, wanachukua hatua mara moja, hawaahirishi kitu na hawaruhusu usumbufu wowote ujitokeze na uwatoe kwenye kile wanachofanya. Watu hawa wana vipaumbele ambavyo wanavisimamia na kufanyia kazi. Na chochote wanachofanya, wanakifanya kwa ubora wa hali ya juu sana. Kwa maana Imeandikiwa
Kwa upande wa pili, masikini wana namna yao ya kutenda mambo ambayo inawafanya waendelee kuwa masikini kwa maisha yao yote. Kwanza kabisa hawajui wanataka nini, hivyo muda wote wako ‘bize’ harakati zao hazina tofauti sana na harakati za Inzi lakini hakuna matokeo makubwa wanayopata kutokana na ubize wao.
Pili Masikini ni wazuri sana kwenye kuahirisha mambo, wanapanga wenyewe vitu vya kufanya lakini unapofika wakati
wa kufanya utasikia wanajiambia Nitafanya kesho. Imeandikiwa masikini wamezungukwa na kila aina ya usumbufu na hawataki kupitwa na jambo lolote katika maisha yao, hali hii inawachosha hata kabla hawajafanya kazi. Na hata pale wanapofanya kazi, wanaifanya kwa ukawaida sana, kama vile hawataki. Kwa tabia hii utajiri kwao wataendelea kuusoma kwenye magazeti na kuuona kwenye TV.
Kwani sayansi ni nini ndugu...Huwa mnaelewa sayansi ni nini kweli??
Kila kitu sasa hivi mnaita ni sayansi!
Dr. Mihogo alisema siasa ni sayansi
Wengine nimewasikia wakisema mpira nao ni sayansi
Sawa masikini utakayeingia mbinguniTajiri kuingia mbinguni ni nafuu ya ngamia kupenya kwenye tundu la sindano.
Imeandikwa.
4. kuna watu wana bahati au nuksi. maana yangu ni kwamba kuna watu ambao kila wanachogusa katika biashara au ajira fulan wanafanikiwa. kinyume chake ni sawa, kuna watu wana nuksi. anafuata kanuni zote na sayansi za mtoa mada lakini hakuna kitu anafanikisha.Vipi wale waliopata utajiri kwa urithi,au
Kwenye madini hawa walitumia sayansi gani
Maneno ya kimasikini hayaTajiri kuingia mbinguni ni nafuu ya ngamia kupenya kwenye tundu la sindano.
Imeandikwa.
Kupata utajiri siyo swala la bahati au ujanja ujanja, bali ni sayansi, kama zilivyo sayansi nyingine. Ili moto uwake unahitaji kupata hewa ya oksijeni, hiyo ni sayansi, kadhalika kuna vitu vinahitajika ili mtu uweze kupata utajiri, hiyo pia ni sayansi. Sayansi ina sheria na kanuni zake, ambazo zikifuatwa basi matokeo yanakuja sawa wakati wote.
Hivyo utajiri pia una sheria na kanuni zake, ambazo mtu akizifuata ataweza kupata utajiri bila ya kushindwa. Uzuri wa sayansi ni kwamba hakuna kubahatisha, ukiweka kitu sahihi na utapata matokeo sahihi, ukiweka kitu ambacho siyo sahihi na matokeo yatakuja ambayo siyo sahihi, Kwa wale mliosoma masomo ya sayansi natumai mnanielewa vizuri.
Watu wengi wamekuwa wakifikiri kupata utajiri ni bahati, na hivyo kushiriki michezo ya kubahatisha na kamari wakiamini ipo siku yao. Rafiki, huwezi kupata utajiri wa uhakika na wa kudumu kupitia michezo ya kubahatisha, usijaribu kufanya hivyo na kama umewahi kufanya basi acha mara moja. Michezo ya kubahatisha siyo kanuni sahihi ya utajiri. Imeandikiwa Utajiri unatengenezwa na vitu viwili vikubwa;
NAMNA YA KUFIKIRI
Kuna namna ya kufikiri ambayo matajiri wanaitumia. Matajiri wana fikra chanya kuhusu fedha na utajiri, hufikiri kuhusu uwezekano na wanajua kuna utele wa chochote wanachokitaka kwenye dunia hii. Matajiri Wanajua dunia ina rasilimali za kutosha na haziwezi kuisha kamwe.
Kwa upande wa pili, masikini wana namna ya kufikiri ambayo inawaweka kwenye umasikini maisha yao yote. Kwanza wanaamini utajiri siyo kitu kizuri, wanajiambia umasikini ndiyo bora.
Pia wanaamini kwenye uhaba,kwamba dunia ina uchache na wachache pekee ndiyo wanaoweza kunufaika na rasilimali chache zilizopo. Kwa kuwa na mtazamo huu, masikini hufikiri ili wao wapate lazima wengine wakose, masikini wengi wao tena ni watu wenye nguvu wasiokuwa na ulemavu wowote ule hutumia andiko hili Kama silaha yao ya kujilinda.
NAMNA YA KUTENDA
Kiungo cha pili cha sayansi ya utajiri ni namna ya kutenda. Wale wanaotajirika wana namna ya kufanya mambo yao ambayo yanawaletea matokeo makubwa na mazuri sana. Wakishapanga kitu cha kufanya, wanachukua hatua mara moja, hawaahirishi kitu na hawaruhusu usumbufu wowote ujitokeze na uwatoe kwenye kile wanachofanya. Watu hawa wana vipaumbele ambavyo wanavisimamia na kufanyia kazi. Na chochote wanachofanya, wanakifanya kwa ubora wa hali ya juu sana. Kwa maana Imeandikiwa
Kwa upande wa pili, masikini wana namna yao ya kutenda mambo ambayo inawafanya waendelee kuwa masikini kwa maisha yao yote. Kwanza kabisa hawajui wanataka nini, hivyo muda wote wako ‘bize’ harakati zao hazina tofauti sana na harakati za Inzi lakini hakuna matokeo makubwa wanayopata kutokana na ubize wao.
Pili Masikini ni wazuri sana kwenye kuahirisha mambo, wanapanga wenyewe vitu vya kufanya lakini unapofika wakati wa kufanya utasikia wanajiambia Nitafanya kesho.
Imeandikiwa masikini wamezungukwa na kila aina ya usumbufu na hawataki kupitwa na jambo lolote katika maisha yao, hali hii inawachosha hata kabla hawajafanya kazi. Na hata pale wanapofanya kazi, wanaifanya kwa ukawaida sana, kama vile hawataki.
Kwa tabia hii utajiri kwao wataendelea kuusoma kwenye magazeti na kuuona kwenye TV.
unajua kuwa matajiri ndio wanaoendesha ulimwengu na kuwalipa mishahara maskini.Tajiri kuingia mbinguni ni nafuu ya ngamia kupenya kwenye tundu la sindano.
Imeandikwa.
Mwambie atafute pesa huyo jamaa, aache ujinga wa kutumia biblia kuhalalisha vitu vya kijinga na umaskiniManeno ya kimasikini haya
Sahau, hilo halitakaa litokee milele. Labda uingize mwenyewe mitaala ya nyumbani kwako. Shulen ni rahisi kuingiza mitaala ya ushoga kuliko hilo na misaada ya vitabu na vyoo na mabafu shuleni mkapewa. KWA HISANI YA WATU WA MAREKANI🤣Hii sayansi ni muda muafaka sasa ikaingizwa kwenye mitaala yetu mashuleni, maana hali zetu ni tete.