Natumai hamjambo wakuu.
Wakuu mimi nina kawaida ya kuuza mechi kila napokutana na pisi kali niloielewa kupita kiasi, katika kuuza kwangu mechi mara kadhaa nimekutana na mafundi wakuzungusha uno na kusababisha msuguano mkali ambao huleta una michubuko sehemu za siri.
Michubuko hii hunitia hofu sana hadi kufikiri nimeukwaa hata nikaamua kupima mara kadhaa ilikujua afya yangu but mara zote nimejikuta nipo sawa, hii hali imenifanya niamini kabisa kuwa kupata UKIMWI ni bahati sana na sio kama inavodhaniwa na wengi.
Wakuu mimi nina kawaida ya kuuza mechi kila napokutana na pisi kali niloielewa kupita kiasi, katika kuuza kwangu mechi mara kadhaa nimekutana na mafundi wakuzungusha uno na kusababisha msuguano mkali ambao huleta una michubuko sehemu za siri.
Michubuko hii hunitia hofu sana hadi kufikiri nimeukwaa hata nikaamua kupima mara kadhaa ilikujua afya yangu but mara zote nimejikuta nipo sawa, hii hali imenifanya niamini kabisa kuwa kupata UKIMWI ni bahati sana na sio kama inavodhaniwa na wengi.