Kupata mke wa kufanana nawemaarufu

Bornagan

Member
Oct 7, 2018
94
95
Nimekuwa kwenye harakati za kutaka kuoa ila kila nikiangalia wanawake ninaodate nao wengi wamezidi umri kuanzia 2 yrs; hili suala linanichanganya sana inakuaje naoa mwanamke aliyenizidi umri?? Je ni gape gani ni sahii? Mimi ni under 25; wadada wengi under 24 wanakuwa hawapo tayari kwa kuolewa na wengi bado wanaona wanapenda kuendelea kukaa kwa wazazi; ila 27+ wengi wanakuwa wanajielewa sana yaani natokea kuwakubali ile mbaya sema ndo hivyo wamenizidi umri. Tupeane uzoefu mlioingia tayari kwenye hii taasisi ya ndo uzoefu wenu ni muhimu wakuu.
 
Subiri ukue utapata wa kukufaa.

Nimekuwa kwenye harakati za kutaka kuoa ila kila nikiangalia wanawake ninaodate nao wengi wamezidi umri kuanzia 2 yrs; hili suala linanichanganya sana inakuaje naoa mwanamke aliyenizidi umri?? Je ni gape gani ni sahii? Mimi ni under 25; wadada wengi under 24 wanakuwa hawapo tayari kwa kuolewa na wengi bado wanaona wanapenda kuendelea kukaa kwa wazazi; ila 27+ wengi wanakuwa wanajielewa sana yaani natokea kuwakubali ile mbaya sema ndo hivyo wamenizidi umri. Tupeane uzoefu mlioingia tayari kwenye hii taasisi ya ndo uzoefu wenu ni muhimu wakuu.
 
Back
Top Bottom