Nenda ofisi ya tanesco iliyo jirani na wewe umuone mhasibu umwambie umepoteza au umefuta meseji za tokeni atakupa nyingine.Msaada kwa anayejua jinsi ya kupata miamala ya mwisho ya luku .
Imetokea bahati mbaya nimefuta token kwenye simu kabla sijaziingiza kwenye Meter
Wajuzi shusheni code za voda na tigo
Wapigie tanesco utapewa token nyingine.Habari wana jamvi nishawah pata message kuwa kuna namba unatuma ili kupata message ya luku iliyochelewa au uliyofuta bahati mbaya kama kuna mtu anakumbuka naomba anijuze
Nimenunua kupitia mpesa nduguWapigie tanesco utapewa token nyingine.
Namba pleaseWapigie tanesco utapewa token nyingine.