Mfarisayomtata
JF-Expert Member
- Feb 2, 2012
- 474
- 188
Sasa ndugu zangu kama nafasi tu kwa ajili ya kufanya field ili kuipata nimehonga pesa, sasa je kupata kazi itakuwaje?? Hebu funguka mwenzangu.
wale wote mnaotoa rushwa kupata field au kazi au hakiyako yoyote.Kwangu wewe hujaelimika unacheti ila huna hujuzi usipobadilika nao utaishia kupata vitu vya dhuluma tu.Jitafakari upya matendo
Ndio mnajiita vijana wakomboa nchi huku mnakubaliana na rushwa!! Mabadiliko na maendeleo yanaanza na wewe!!
daa hii mbona kawaida mm kuna kampuni nilitoa laki moja.....