Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,468
- 113,583
- Thread starter
- #161
Msema kweli ni Mpenzi wa Mungu, ni kweli pale mwanzo Baba alikuwa tatizo, na baadhi ya akina sisi watoto, hilo tuliliona, hatuku kaa kimya kwa kunyamaza, tulipaaza sauti zetu kulisemaWanasema baba ndio kichwa cha familia, familia isiyokuwa na uwelekeo wakimaendeleo baba ndio tatizo.
Pascal Mayalla wana ccm nyie ndio baba wa taifa hili nini shida kwenye hili la kilimo
Kupata Maendeleo ya Kweli, Tanzania Inahitaji Systems Not Dramas, Ze Comedy na One Man Shows!
Wanabodi, Sisi Wana mitandao tumeshauriwa kuitumia mitandao kulisaidia taifa letu kuendelea, hivyo huu ni ushauri wangu. Ili Tanzania tuendelee kwa kupata maendeleo ya kweli, na sio maendeleo kiini macho, tunahitaji kujenga taasisi Imara ( strong institutions), zenye mifumo imara, ( an...
www.jamiiforums.com
Je, maendeleo ya kweli ni maendeleo ya watu au vitu? Wachumi tusaidieni, uchumi wa Awamu ya 5, unalisaidia Taifa au utaliangamiza?
Wanabodi, Hii ni thread ya swali, ambalo linatakiwa kujibiwa na wachumi wetu, kuhusiana na dhana ya maendeleo ya kweli ni maendeleo ya watu au ni maendeleo ya vitu?, na Je, sera za uchumi za serikali ya awamu ya Tano, ambazo zimejikita kwenye maendeleo ya vitu, badala ya maendeleo ya watu...
www.jamiiforums.com
Maendeleo ya kweli Tanzania yataletwa na Elimu na Ukweli. Tusidanganye, Tusidanganywe, Tusidanganyike!
Wanabodi, Declaration of Interest. Paskali ni mwandishi wa habari wa kujitegemea, kanuni kuu ya kwanza ya mwandishi wa habari, ni to seek the truth and to tell nothing but the truth!. Hivyo kama mwandishi wa habari mzalendo, ni mwandishi wa kundi la kina Tomaso, hatuamini kwa maneno matupu hadi...
www.jamiiforums.com
Huyu Baba wa sasa aliyepo, (japo kijinsia ni mwanamke), ili asifanye makosa kama ya Baba aliyemtangulia anahitaji kusaidiwa kuonyeshwa tatizo ni sisi Watanzania wenyewe kwenye Upangaji wa Vipaumbele Vyetu, baadhi ya sisi Watanzania wazalendo tumeisha libaini hili na tumejitolea kujitokeza kumsaidia kupitia sauti zetu (TV Program ya "Kwa Maslahi ya Taifa" ), au kupitia makala za magazetini "Kwa Maslahi ya Taifa" na huku kwenye mitandao ya Jamii ikiwemo JF, na mfano mzuri ni Makala yangu hii
Tanzania bado tuna tatizo la upangaji vipaumbele vyetu, baada ya Elimu, Afya na kilimo, ilipaswa ije nishati!. Ni aibu na hatari kupikia kuni na mkaa!
Makala hiyo iliandamana na kipindi cha TV kwenye ITV na TBC. Sasa kama Mzee Baba (Mama Babaa) na lile jicho lake (japo limeregea lakini linaona sana), litakuwa limeona, hata kama sio yeye mwenyewe in person, lakini lile jicho lake jingine by proxy linaloona kila mahali , kila kona hadi uvunguni, litakuwa limeona, hivyo Mimi kama raia mwema wa taifa langu, nitakuwa nimetimiza wajibu wangu kwa nchi yangu.
P.