Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,463
- 39,929
Jamani hivi ndoa hii iko salama kweli. Wameenda kwa shangwe kupiga kura ya udiwani, kura zimehesabiwa kura ya mama iko moja tu ya kwake, mumewe hakumpigia kura! Ndoa iko salama au ni siasa tu?