KARLO MWILAPWA
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 2,590
- 4,600
Viongozi wengi wanapopata madaraka ya juu ya uongozi, ugeuka na kuwafanya watu watumishi wao badala ya wao kuwa watumishi wa watu. Wengi wa viongozi hao uingiwa tamaa ya mali za umma bila kujali maslahi ya wengi na hivyo kushindwa kuwatumikia vyema watu wake. Viongozi wa nchi hizo maranyingi wanageuka na kuwa maadui wa watu.
Hali ni tofauti kwa Tanzania, Rais Magufuli ni tofauti sana. Ni kiongozi mnyenyekevu kwa watu anaowaongoza. Ni kiongozi aliyetayari kutumika kwa ajili ya watu wake na kuwatumikia watu wake bila kujali tofauti zao. Ni kiongozi mwenye kila sababu ya sisi kumuita mtumishi wetu. Tumemtuma atutumikie na anatutumikia vyema kwa kadiri ya uwezo wake.
Ni ajabu kuona mtu anahoji uongozi wa Rais Magufuli hasa pale anapojitoa kututumikia na kutumika kwa ajili yetu. Rais Magufuli yupo ikulu, mahali ambapo anaweza kula atakavyo na kufanya atakacho na asifanye kazi yeyote kwa miaka mitano na baada ya miaka mitano anaacha zake na agombanii tena ila Rais Magufuli anasema hapana lazima deni la kuwatumikia na kutumika kwa ajili ya Tanzania alilipe. Mifano ipo mingi ya viongozi waliogeuka mizigo ndani ya nchi zao ila Rais Magufuli kabeba mizigo ya watanzania kwa kuwatumikia.
Kama akitaka, kwa miaka yote mitano ya Urais wake anaweza asifanye ziara yeyote mikoani badala yake anafanya ziara za Dar es salaam tu. Ila akasema hapana watanzania wananidai na wakati wa kampeni ameona wanayomdai na kuahidi kutekeleza. Anatekeleza kwa kwenda kukagua alivyoahidi huko mikoani . Hii ni Baraka kuwa na Rais anayetumikia watu wake wote.
Rais anayejinasibu kwa vitendo si maneno matupu kama Rais wa wanyonge ni Baraka na bahati kubwa kumpata . Kiongozi aliyejitoa kutumika na kuwatumikia wanyonge wote ni Baraka. Ni nchi chache zenye viongozi ambao wapo kulinda maslahi ya wanyonge dhidi ya matajiri na wanyonyaji, Tanzania kama miongoni mwa nchi hizo ni jambo zuri sana. tumemtuma anatutumikia vyema
Hali ni tofauti kwa Tanzania, Rais Magufuli ni tofauti sana. Ni kiongozi mnyenyekevu kwa watu anaowaongoza. Ni kiongozi aliyetayari kutumika kwa ajili ya watu wake na kuwatumikia watu wake bila kujali tofauti zao. Ni kiongozi mwenye kila sababu ya sisi kumuita mtumishi wetu. Tumemtuma atutumikie na anatutumikia vyema kwa kadiri ya uwezo wake.
Ni ajabu kuona mtu anahoji uongozi wa Rais Magufuli hasa pale anapojitoa kututumikia na kutumika kwa ajili yetu. Rais Magufuli yupo ikulu, mahali ambapo anaweza kula atakavyo na kufanya atakacho na asifanye kazi yeyote kwa miaka mitano na baada ya miaka mitano anaacha zake na agombanii tena ila Rais Magufuli anasema hapana lazima deni la kuwatumikia na kutumika kwa ajili ya Tanzania alilipe. Mifano ipo mingi ya viongozi waliogeuka mizigo ndani ya nchi zao ila Rais Magufuli kabeba mizigo ya watanzania kwa kuwatumikia.
Kama akitaka, kwa miaka yote mitano ya Urais wake anaweza asifanye ziara yeyote mikoani badala yake anafanya ziara za Dar es salaam tu. Ila akasema hapana watanzania wananidai na wakati wa kampeni ameona wanayomdai na kuahidi kutekeleza. Anatekeleza kwa kwenda kukagua alivyoahidi huko mikoani . Hii ni Baraka kuwa na Rais anayetumikia watu wake wote.
Rais anayejinasibu kwa vitendo si maneno matupu kama Rais wa wanyonge ni Baraka na bahati kubwa kumpata . Kiongozi aliyejitoa kutumika na kuwatumikia wanyonge wote ni Baraka. Ni nchi chache zenye viongozi ambao wapo kulinda maslahi ya wanyonge dhidi ya matajiri na wanyonyaji, Tanzania kama miongoni mwa nchi hizo ni jambo zuri sana. tumemtuma anatutumikia vyema