Kupata hedhi baada ya kujifungua

ni ipi hiyo? Haina madhara? Naskia ukiweka kijit ukitaka kutoa had wakupige X ray wakitafute kilipo? What are its side effects?

Hiyo wanawawekea kiwaya wanakiita kitanzi ndani. Kazi yake ni kuzuia mbegu zisiende kukutana na yai. Ukitaka mtoto kinatolewa.
Nilipendekeza hicho kwa mamsap kwakuwa hakina madhara sana ikija mambo ya hormone.

Hizo nyingine kama kijiti, vidonge n.k vikikukataa inawezaleta mabadiliko makubwa sana.

Wataalam wataelezea zaidi.
 
Hiyo wanawawekea kiwaya wanakiita kitanzi ndani. Kazi yake ni kuzuia mbegu zisiende kukutana na yai. Ukitaka mtoto kinatolewa.
Nilipendekeza hicho kwa mamsap kwakuwa hakina madhara sana ikija mambo ya hormone.
Hizo nyingine kama kijiti, vidonge n.k vikikukataa inawezaleta mabadiliko makubwa sana.
Wataalam wataelezea zaidi.
huh? Anafanyiwa op? Ngoja niendelee kusubiria majibu mengine mkuu hata hivo umenitoa tongotongo barikiwa
 
Unaweza kupata mimba dada, kuna mmama alibeba mmba miez 3 baada ya kujifungua ( hakuwahi kuona hedhi) na alishituka baada ya mtoto kuanza kucheza tumboni, lakini pia wapo hadi waachishe mtoto ndo waone hedhi na mimba hawaoati
 
Unaweza kupata mimba dada, kuna mmama alibeba mmba miez 3 baada ya kujifungua ( hakuwahi kuona hedhi) na alishituka baada ya mtoto kuanza kucheza tumboni, lakini pia wapo hadi waachishe mtoto ndo waone hedhi na mimba hawaoati
Ni kweli kabisa, mi mwenyewe Ni muhanga wa hilo swala sikuwahi pata siku zangu, ila saa hizi nina mimba miez 6 na mtoto wa mwaka mmoja
 
Mi ilikuwa hivyo hivyo nilinyonyesha mwaka na miezi 8 bila bleed nikiuliza watalam wananiambia siwezi pata mimba hadi nione siku zangu,lakini mtoto kufikisha miaka 2 nilipata wasiwasi kupima imo na mtoto alikuwa bado ananyonya.
 
Mi ilikuwa hivyo hivyo nilinyohesha mwaka na miezi 8 bila bleed nikiuliza watalam wananiambia siwezi pata mimba hadi nione siku zangu,lakini mtoto kufikisha miaka 2 nilipata wasiwasi kupima imo na mtoto alikuwa bado ananyonya.
Naogopa sasa
 
Dada unaweza kupata mimba bila hata kuanza kuona siku zako baada ya kujifungua, hiyo lactating amenorrhea inaweza fika kikomo na yai likapevuka bila wewe kujua, mwishowe ukajikuta mimba ishaingia. tumia hata njia za uzazi wa mpango kama hauna mpango wa kuzaa harakaharaka Ms mol,
 
Wasalaaam.

Ni miezi 9 sasa toka nijifungue mtoto wangu. Sasa sijawahi kubleed kabisa.. Na nimeishia Hoff inside nikapata mimba jamani maana naendelea kukutana na mwenzangu kwa tendo la ndoa kila Mara.

Je mimba haiwezi kujitungia ndani kwa ndani jamani..!! Asante
Unaweza pata mimba muda wowote kuanzia sasa. Be careful kama hutaki kupata ujauzito sasa ivi.. Kwa sababu yai linaweza kupevuka muda wowote limove to fallopian ambapo likikutana na mbegu ya kiume hapo hapo litarutubishwa na apo utapata ujauzito tena na endapo halitakutana na mbegu ya kiume litadissolve baada ya masaa 24 na apo ndo utapata hedhi yako..

Kila la heri mkuu kuongeza mtoto wa pili
 
Unaweza pata mimba muda wowote kuanzia sasa. Be careful kama hutaki kupata ujauzito sasa ivi.. Kwa sababu yai linaweza kupevuka muda wowote limove to fallopian ambapo likikutana na mbegu ya kiume hapo hapo litarutubishwa na apo utapata ujauzito tena na endapo halitakutana na mbegu ya kiume litadissolve baada ya masaa 24 na apo ndo utapata hedhi yako..

Kila la heri mkuu kuongeza mtoto wa pili
Mkuu atakuwa wa 6.
 
Kama unanyonyesha vizuri yaani kuanzia miezi sita, at least 8 times in 24 hrs, au inaweza chukua wastani wa 9.6 months, ila kama hunyonyeshi vizuri it takes about 5.3 months.

But point to note 'IN MEDICINE THERE'S NO ALWAYS' ni vema utumie njia ya uzazi wa mpango.
 
Back
Top Bottom