Wasalaaam.
Ni miezi 9 sasa toka nijifungue mtoto wangu. Sasa sijawahi kubleed kabisa. Na nimeishia Hofu nisije nikapata mimba jamani maana naendelea kukutana na mwenzangu kwa tendo la ndoa kila Mara.
Je, mimba haiwezi kujitungia ndani kwa ndani jamani!
Asante
Ni miezi 9 sasa toka nijifungue mtoto wangu. Sasa sijawahi kubleed kabisa. Na nimeishia Hofu nisije nikapata mimba jamani maana naendelea kukutana na mwenzangu kwa tendo la ndoa kila Mara.
Je, mimba haiwezi kujitungia ndani kwa ndani jamani!
Asante