Kupata D au E ya physics A level ni kazi kubwa kuliko kupata degree ya biashara au ya arts, je ni kweli?

HKL, ndo maana mnapokea mshahara laki 5 na mwenzio million na wote mna degree hiyo hiyo moja, unataka ufananishe Physics na Mofimu yako Sio? Form 1 na 2 si darasa zima mlikuwa Science kipi kiliwafanya baadae ukajikuta upo HKL? Jifunze kukubali vitu vilivyo wazi hata kama havikufurahishi. Tchaoo
hao milioni kina nani? hawa walio ishia kuwa waalimu huku hkl akiwa afisa utumishi wao.

haiwezekani watu wote wakawa wanasayansi (tanzania wanasayansi wachache hata 20 hawafiki) mliobaki mnajivunia kukariri mavitabu ya sayansi ila hamna chochote.
 
hao milioni kina nani? hawa walio ishia kuwa waalimu huku hkl akiwa afisa utumishi wao.

haiwezekani watu wote wakawa wanasayansi (tanzania wanasayansi wachache hata 20 hawafiki) mliobaki mnajivunia kukariri mavitabu ya sayansi ila hamna chochote.
Nyinyi wanahati mnajivunia nini cha maana mlichokifanya?
 
Nimekumbuka mbali sana wakati nipo chuo kikuu cha taifa nafanya zangu degree ya biashara.

Majamaa waliosoma pcm walikuwa wanapasua sana na kuona mambo marahisi huku wengi wao hawasomi sana chuo

Kuna mmoja wapo alikuja na hoja kwamba physics ya a level ina mambo mengi ya ku cover kuliko b com degree nzima..

Wakasema topic moja ya physics tu ina vitu vingi kuliko corse nzima ya b com kwenye semester.. ndio maana wao hawasomi sana chuo ila wanapasua tu

Leo nimekumbuka hoja yao baada ya dogo kuniomba masaada nimnunulie baadhi ya vitabu vya a level. Nimeenda madukani hayo mavitabu tu. Nimekumbuka enzi zile chuo hoja za wana science nikaanza kucheka mwenyewe.

Je wale mliosoma pcm a level na degree za biashara humu.. je ni kweli physics ni ngumu kuliko degree nzima ya business?
Ugumu wa fizikia unaanza na kutokua na walimu wazuri wa somo husika,Nikiwa O level nilibahatika kufundishwa na mwalimu m1 ambae alifanya somo kua jepesi sana Maana kumbuka wanafunzi wengi hulikimbia somo kuanzia F2 tu pale...

Ukipanda A level nako changamoto kubwa ni walimu...Naamini ukipata mwalimu mzuri wa fikizia Akakujengea uelewa zaidi Na sio kukariri somo linakua jepesi Tu.....Somo linatopic chache sema subtopics ni nyingi sana mfano kama mechanics tu unasoma ukifika kwenye simple harmonic motion ushasahau mada za nyuma !! Ni somo zuri sana la science
 
Nimekumbuka mbali sana wakati nipo chuo kikuu cha taifa nafanya zangu degree ya biashara.

Majamaa waliosoma pcm walikuwa wanapasua sana na kuona mambo marahisi huku wengi wao hawasomi sana chuo

Kuna mmoja wapo alikuja na hoja kwamba physics ya a level ina mambo mengi ya ku cover kuliko b com degree nzima..

Wakasema topic moja ya physics tu ina vitu vingi kuliko corse nzima ya b com kwenye semester.. ndio maana wao hawasomi sana chuo ila wanapasua tu

Leo nimekumbuka hoja yao baada ya dogo kuniomba masaada nimnunulie baadhi ya vitabu vya a level. Nimeenda madukani hayo mavitabu tu. Nimekumbuka enzi zile chuo hoja za wana science nikaanza kucheka mwenyewe.

Je wale mliosoma pcm a level na degree za biashara humu.. je ni kweli physics ni ngumu kuliko degree nzima ya business?
Hahaha mi mwenyewe nina E ya physo A level ila maisha yangu ya chuo ni bwerere nawakimbiza hata waliopiga one za 6 na 7 wa ECA, EGM,HGL, ni mwendo wa mtelezo tu physics imenifungua sana akili japo niliifeli ila imenisaidia sana 😹
 
Leo nimepata sabb ya kwa nini nilipata F ya physics 2013 (PCM). Nilijiona mjinga sana ikabidi nikasome tu Biashara kwa hasira na sikuwahi fatilia kabsa why nilifail.

Asante kwa kunipa sababu
Huo mwaka picha inaanza t.o ana 67 ya physics 😹😹😹😹 daaah ukipata D unaonekana kichwa sans
 
Nimekumbuka mbali sana wakati nipo chuo kikuu cha taifa nafanya zangu degree ya biashara.

Majamaa waliosoma pcm walikuwa wanapasua sana na kuona mambo marahisi huku wengi wao hawasomi sana chuo

Kuna mmoja wapo alikuja na hoja kwamba physics ya a level ina mambo mengi ya ku cover kuliko b com degree nzima..

Wakasema topic moja ya physics tu ina vitu vingi kuliko corse nzima ya b com kwenye semester.. ndio maana wao hawasomi sana chuo ila wanapasua tu

Leo nimekumbuka hoja yao baada ya dogo kuniomba masaada nimnunulie baadhi ya vitabu vya a level. Nimeenda madukani hayo mavitabu tu. Nimekumbuka enzi zile chuo hoja za wana science nikaanza kucheka mwenyewe.

Je wale mliosoma pcm a level na degree za biashara humu.. je ni kweli physics ni ngumu kuliko degree nzima ya business?
Ixi dharau sawasawa na kejeli Sasa😅😅😅
 
Aisee D au E

nyie majamaa acheni hizo

Ishu nzima ni kusoma na kutulia kwa umakini na kulipenda somo lenyewe
Of course part ngumu zipo ila sio za kufanya mtu akose A

Mimi nilipata A , advanced physics , namba 8 kitaifa
Ulimaliza mwaka gani swaleheee
 
phyisics upate mtu anayeijua akuelekeze na lilikua somo ambalo nalipenda sana advance kuliko masomo yote...ila nilipata B mtihani wa mwisho.....na ni kweli kama ukiweza vizuri physics basi course ambazo zina hesabu ndani yake hazitakua na matatizo maana anayejua physics pia hesabu yuko vizuri....we fikiria mtu unasoma hadi mass ya electron, dunia,plancks costant, na mcostants nyingi tuu zinakua kwenye fingerprints it was great time katika maisha yangu ya elimu
What a time to be alive
 
Nimekumbuka mbali sana wakati nipo chuo kikuu cha taifa nafanya zangu degree ya biashara.

Majamaa waliosoma pcm walikuwa wanapasua sana na kuona mambo marahisi huku wengi wao hawasomi sana chuo

Kuna mmoja wapo alikuja na hoja kwamba physics ya a level ina mambo mengi ya ku cover kuliko b com degree nzima..

Wakasema topic moja ya physics tu ina vitu vingi kuliko corse nzima ya b com kwenye semester.. ndio maana wao hawasomi sana chuo ila wanapasua tu

Leo nimekumbuka hoja yao baada ya dogo kuniomba masaada nimnunulie baadhi ya vitabu vya a level. Nimeenda madukani hayo mavitabu tu. Nimekumbuka enzi zile chuo hoja za wana science nikaanza kucheka mwenyewe.

Je wale mliosoma pcm a level na degree za biashara humu.. je ni kweli physics ni ngumu kuliko degree nzima ya business?
Hahahab ndo kinacho nitokea hapa aseee physics nimelamba E chuo nawapakata vyedi tu 😒
 
Masomo yote yana uzito sawa..urahisi au ugumu wa somo inategemea na interest ya muhusika. Interest yako ilipo na unapoweka effort basi mambo huwa shwari.

Lakini pia inategemea na mwalimu. Mwalimu anayekufundisha kama haeleweki na haumpendi automatically hata course yake hutaipenda, hutaielewa, utaiona ngumu na mwisho wa siku utafeli
 
Back
Top Bottom