Kwani wakina Newtons walikuwa wanapewa chakula na nani wakiwa maabara?Mkuu watu wana passion sana na uvumbuzi wa kisayansi tatizo ni njaa huwezi kushinda unakesha laboratory unafanya sayansi na njaa
That’s why Africa ipo nyuma sana
Huyo bakteria amefanya nini, nataka kufahamu tu impact yake mpaka sasaBugando waligundua bakteria anaitwa "Enterobacter bugandensis".. kuhusu fani zingine sifahamu, kwahyo usipondee tu, sio wote ni bongolala kama unavotaka kumaanisha
baada ya kugundulika huyo bakteria imekua rahisi kuokoa vifo vya watoto wachanga waliokua wanauliwa na huyo bakteria, hyo ni impact yake mkuu!.Huyo bakteria amefanya nini, nataka kufahamu tu impact yake mpaka sasa
Sawa Mkuu, na alikuwa anasababisha ugonjwa gani?baada ya kugundulika huyo bakteria imekua rahisi kuokoa vifo vya watoto wachanga waliokua wanauliwa na huyo bakteria, hyo ni impact yake mkuu!.
Neonatal sepsis!Sawa Mkuu, na alikuwa anasababisha ugonjwa gani?
Umemjibu vizuri sanaNi vema ungesoma na wewe ili ujue wanafanya nini huko mashuleni nina wasiwasi na afya ya ubongo wako..
Hospital unatibiwa na wafanya biashara?
TANESCO wamejaa wanasheria?
Viwanda vinaendeshwa na Walevi?
Migodini madini yanachimbwa na wehu kama wewe?
Usiposoma Science ndio unashindwa kufikiria kabisa daah!
Elon muskUpumbavu ni hali ya kutofundishika. Nitajie bilionea unaemfahamu mahali popote ambae kasoma physics pekee.
ya kazi gani? ama badae niibuke na mabandiko ya kujisifia ujinga ili hali kichwani mweupeungejaribu kusoma io historia ya sayansi uone
Unaonekana umejaa stress balaaya kazi gani? ama badae niibuke na mabandiko ya kujisifia ujinga ili hali kichwani mweupe
sanaaaaa......nahisi umefurahi (maana najua kiwango cha furaha kwa watanzania kiko chini mno)Unaonekana umejaa stress balaa
Mwaka huo Physics ilikuwa imesimama wimaLeo nimepata sabb ya kwa nini nilipata F ya physics 2013 (PCM). Nilijiona mjinga sana ikabidi nikasome tu Biashara kwa hasira na sikuwahi fatilia kabsa why nilifail.
Asante kwa kunipa sababu
HKL, ndo maana mnapokea mshahara laki 5 na mwenzio million na wote mna degree hiyo hiyo moja, unataka ufananishe Physics na Mofimu yako Sio? Form 1 na 2 si darasa zima mlikuwa Science kipi kiliwafanya baadae ukajikuta upo HKL? Jifunze kukubali vitu vilivyo wazi hata kama havikufurahishi. Tchaooya kazi gani? ama badae niibuke na mabandiko ya kujisifia ujinga ili hali kichwani mweupe
Lile paper nilililishika nikalicheck ilikuwa balaa zito, kwa jinsi nilivyojipima lile paper B nisingepata asee. Shughuli ileya kazi gani? ama badae niibuke na mabandiko ya kujisifia ujinga ili hali kichwani mweupe