kombaME
JF-Expert Member
- Aug 24, 2015
- 1,994
- 2,000
Lile paper nilililishika nikalicheck ilikuwa balaa zito, kwa jinsi nilivyojipima lile paper B nisingepata asee. Shughuli ileya kazi gani? ama badae niibuke na mabandiko ya kujisifia ujinga ili hali kichwani mweupe