Myahudi Jr II
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 6,703
- 8,481
Muhas
2009
Daahh, Baba Swalehe nakuchukulia mshkaji tu miaka 27plus kumbe mzee mzima mwenye ndevu nyingi tuu, 2009???
Muhas
2009
Teh ...Daahh, Baba Swalehe nakuchukulia mshkaji tu miaka 27plus kumbe mzee mzima mwenye ndevu nyingi tuu, 2009???
Kupost pumba ni rahisi kuliko kupost vitu vya msingi yaani chakula cha ubongo.Nimekumbuka mbali sana wakati nipo chuo kikuu cha taifa nafanya zangu degree ya biashara.
Majamaa waliosoma pcm walikuwa wanapasua sana na kuona mambo marahisi huku wengi wao hawasomi sana chuo
Kuna mmoja wapo alikuja na hoja kwamba physics ya a level ina mambo mengi ya ku cover kuliko b com degree nzima..
Wakasema topic moja ya physics tu ina vitu vingi kuliko corse nzima ya b com kwenye semester.. ndio maana wao hawasomi sana chuo ila wanapasua tu
Leo nimekumbuka hoja yao baada ya dogo kuniomba masaada nimnunulie baadhi ya vitabu vya a level. Nimeenda madukani hayo mavitabu tu. Nimekumbuka enzi zile chuo hoja za wana science nikaanza kucheka mwenyewe.
Je wale mliosoma pcm a level na degree za biashara humu.. je ni kweli physics ni ngumu kuliko degree nzima ya business?
Labda wanaliwa tako.Mkuu Laiti kipindi kisingefupishwa hakika hakuna ambae angepona Physics sio somo rafiki duniani kote period..
Ogopa somo ambalo developers wake wengi hawaoi niishie hapa kwa leo
Kuhusu akina baba paroko kugegeda papuchi sina uhakika.Labda wanaliwa tako.
Wakina Baba paroko wenyewe wanagegeda papuch.
Au inamsema t.o wa 2006 maan jamaa anaejua na anajua kujisifia aiseeYes ndugu walikaziwa paper lilikua gumu
Hata mimi pale ningepata B
Ila kuna jamaa angu lazima angepata A yaani yeye hata utunge mtihani umekaa uchi yaani hachelewi kukuaibisha
The guy was genius i appreciate him
well said, cc wakina H kunani mkituambia kuhusu Physics mnatuvuruga tu tuliachaga toka 4mII ila mzee na hao wanaopiga mabanda mfano yule dogo wa Mzumbe aliyeongoza kitaifa 2018 mbn alikuwa ana mambo mengi mara kiwanjan, night game za UEFA Champions League hakosi asubuhi kwny magazeti yupo mixer kweny matunda yaani hakuwa mtu wa kutulia sana but strange as it has been seen Physics kaitandika co poaKuhusu akina baba paroko kugegeda papuchi sina uhakika.
Scientists kuliwa tako sio kweli most of them are very focused and occupied mentally..
Yeah umeongea fresh mkuu on my side niliacha history na agriculture form II niliona history ngumu kwangu na nilifanya vizuri masomo yangu 8 yaliyobaki..well said, cc wakina H kunani mkituambia kuhusu Physics mnatuvuruga tu tuliachaga toka 4mII ila mzee na hao wanaopiga mabanda mfano yule dogo wa Mzumbe aliyeongoza kitaifa 2018 mbn alikuwa ana mambo mengi mara kiwanjan, night game za UEFA Champions League hakosi asubuhi kwny magazeti yupo mixer kweny matunda yaani hakuwa mtu wa kutulia sana but strange as it has been seen Physics kaitandika co poa
Lakini pia uwe mzuri wa kukaliliphyisics upate mtu anayeijua akuelekeze na lilikua somo ambalo nalipenda sana advance kuliko masomo yote...ila nilipata B mtihani wa mwisho.....na ni kweli kama ukiweza vizuri physics basi course ambazo zina hesabu ndani yake hazitakua na matatizo maana anayejua physics pia hesabu yuko vizuri....we fikiria mtu unasoma hadi mass ya electron, dunia,plancks costant, na mcostants nyingi tuu zinakua kwenye fingerprints it was great time katika maisha yangu ya elimu
nenda UDOM collage of Natural science pale kuna watu wanasoma biology tu,chemistry tu,mathematics tu na PHYSICS tui wish hata hapa bongo kungekua na chuo kina deal na physics ila sio kuwa mwalimu ningesoma...physics pekee
hapana physics ukikariri unaumia physics ni principles na ukizifuata lazima utafurahiaLakini pia uwe mzuri wa kukalili
Lakini pia uwe mzuri wa kukalili
Hongera!Aisee D au E
nyie majamaa acheni hizo
Ishu nzima ni kusoma na kutulia kwa umakini na kulipenda somo lenyewe
Of course part ngumu zipo ila sio za kufanya mtu akose A
Mimi nilipata A , advanced physics , namba 8 kitaifa
Mbona mimi nilipiga mkuu..Mkuu uko vizuri na umefafanua vizuri kabisa especially suala la kutosoma kwa passion ila 2013 labda kama ulivyosema hakuna cha Mzumbe, Ilboru, Kibaha,Marian wala Feza mtu aliyepata B au A ya Physics
Kwaiyo munasoma sayansi ili muajiriwe na TANESCO siyo?? Kweli kama taifa bado tuko nyuma Sana...Ni vema ungesoma na wewe ili ujue wanafanya nini huko mashuleni nina wasiwasi na afya ya ubongo wako..
Hospital unatibiwa na wafanya biashara?
TANESCO wamejaa wanasheria?
Viwanda vinaendeshwa na Walevi?
Migodini madini yanachimbwa na wehu kama wewe?
Usiposoma Science ndio unashindwa kufikiria kabisa daah!
Elon Musk kasoma degree ya Mambo ya physics na kawekeza kwenye physics economics, Kaunda marocket yake anataka ahamie Mars aachane na hi dunia iliyojaa wajinga wasiofundishika, kazi kukosoa tuUpumbavu ni hali ya kutofundishika. Nitajie bilionea unaemfahamu mahali popote ambae kasoma physics pekee.
Elon musk kasoma degree ya Mambo ya physics na kawekeza kwenye physics economics,kaunda marocket yake anataka ahamie Mars aachane na hi dunia iliyojaa wajinga wasiofundishika,kazi kukosoa tu
HahahahaahaaaaElon musk kasoma degree ya Mambo ya physics na kawekeza kwenye physics economics,kaunda marocket yake anataka ahamie Mars aachane na hi dunia iliyojaa wajinga wasiofundishika,kazi kukosoa tu
HahahahaahaaaaElon musk kasoma degree ya Mambo ya physics na kawekeza kwenye physics economics,kaunda marocket yake anataka ahamie Mars aachane na hi dunia iliyojaa wajinga wasiofundishika,kazi kukosoa tu