Kupata choo cha rangi nyeusi kwa mjamzito inasababishwa na nini?

Dada nimekuuliza ni dawa gani za kuongeza (Hb)damu unatumia ili tukushauri ubadilishe!! Hiyo ni hali ya kawaid kwa mama mjamzito akiwa anatumia dawa flani za kuongeza damu!! ukinambia unatumia dawa gani nitakushauri ubadilishe hutapata hali kama hiyo tena
 
Habari,

Kabla ya yote ningependa kujua:

1: Unatumia dawa yoyote ya kuongeza damu?
2: Kabla ya ujauzito hali hii ilikuwepo?
3: Unapata choo kigumu?
4: Unapata maumivu ya tumbo?

1.ndio natumia dawa za kuongeza damu
2.hapana hapo kabla haikuwepo
3.hapana choo changu si kigumu.
4.hapana sina maumivu ya tumbo.
 
Dada nimekuuliza ni dawa gani za kuongeza (Hb)damu unatumia ili tukushauri ubadilishe!! Hiyo ni hali ya kawaid kwa mama mjamzito akiwa anatumia dawa flani za kuongeza damu!! ukinambia unatumia dawa gani nitakushauri ubadilishe hutapata hali kama hiyo tena

Nimekujibu mkuu pole kwa kuchelewa kukujibu nisamehe tu.
 
1.ndio natumia dawa za kuongeza damu
2.hapana hapo kabla haikuwepo
3.hapana choo changu si kigumu.
4.hapana sina maumivu ya tumbo.

Ni kawaida kupata choo cheusi kama unatumia dawa za kuongeza damu, hii ni kwa sababu ya madini ya chuma yanapomeng'enywa hugeuka na kuwa na rangi hiyo.
 
Nimekujibu mkuu pole kwa kuchelewa kukujibu nisamehe tu.
ok Badilisha dawa!! Tafuta Dawa inaitwa "FERROBIN" kama upo dar nenda Nakiete pharmacy ipo mwenge, kama kariakoo nenda Robby one pharmacy, Bariki pharmacy utaipata
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom