Kupandishwa umeme na kodi za kikatili kwa watanzania ni kifungu kipi cha ilani ya uchaguzi ya ccm

Pakawapakawa

Senior Member
Nov 19, 2012
110
20
Wapendwa wanachama wenzangu na hasa Mhe. Nape na Mwigulu, tujuze ni vipengele vipi ndani ya Ilani ya Uchaguzi ya CCM vinaruhusu kupandishwa umeme kwa asilimia 85 na kutozwa kodi wananchi kwa kiwango tunachoshudia sasa. Ukweli tunanyanyasika mitaa kwa kuambiwa ni matokeo ya Ilani ya Chama chenu. Je kuna ukweli wowote?. Ninauliza swali hili baada ya kuona ziara zote za Katibu mkuu na nyie mlioambatana naye hakuwai kukemia masuala yaha!.
 
Tumeyataka maana tuliambiwa tukashupaza shingo zetu wacha tukione cha moto sasa......ndo shida ya kuongozwa na mizigo
 
Waulize kwanza Ufisadi upo kipengele gani cha ilani halafu utafakari mwishowe utajua
 
Pia waulize CCM ile opresheni yao ya mauaji ya wananchi ilikuwa katika kipengele gani cha ilani hiyo ya CCM?
 
CCM ni wavivu wa kufikiri, wavivu wa kubuni njia mpya. Wanajua njia kuu mbili tatu baasi. Bia na sigara, kodi ya PAYE. Mengine ni kukisia tu bila kuyafanyia utafiti wowote.
Wawekezaji, wanatamani walipe kodi kama kule kwao lakini sisi tunawaambia watufichie kuleeeee uswiss. Wale tunao wakamua kodi, kwa vile ni wachache haitoshelezi hivyo vyanzo mbadala tuna warudia wale wale walala hoi. Tunaongeza bei ya mafuta na umeme. Kwani waliwahi kusema hawawezi kulipa? Viongozi pamoja na hayo ma allowance s kibao lakini pia mafuta ya bure na hata chakula nyumbani bure. Atajua kweli mlala hoi? Fikiria vizuri
 
Wacha bei ipandishwe ifike sh 1,000/ kwa unit moja , maana bado Watanzania wamelala usingizi labda wanaweza kuzinduka kwa hili.Wapinzani wakiwatetea wao wanaziba masikio.
 
Back
Top Bottom