Pakawapakawa
Senior Member
- Nov 19, 2012
- 110
- 20
Wapendwa wanachama wenzangu na hasa Mhe. Nape na Mwigulu, tujuze ni vipengele vipi ndani ya Ilani ya Uchaguzi ya CCM vinaruhusu kupandishwa umeme kwa asilimia 85 na kutozwa kodi wananchi kwa kiwango tunachoshudia sasa. Ukweli tunanyanyasika mitaa kwa kuambiwa ni matokeo ya Ilani ya Chama chenu. Je kuna ukweli wowote?. Ninauliza swali hili baada ya kuona ziara zote za Katibu mkuu na nyie mlioambatana naye hakuwai kukemia masuala yaha!.