Nijambo la kushangaza sana ,wananchi wanahuzuni kubwa kutokana na maisha kupanda kiasi hiki, lita ya petrol 2500, mafuta ya kula 6000 lita, makato ya simu kuongezeka,
KUNA NINI NYUMA YA PAZIA?, mtueleze wananchi kuna nini kwenye uchumi,wananchi wanawalipa mishahara ,magari mazuri na kila raha njema mmepewa mmeshindwa kushughulikia matatizo yaha ya msingi.CCM ndio chama tawala bungeni mpo 100%.
Mumefunga midomo mnatuletea comedy za Gwajima ,mnaacha mambo ya msingi yanayogusa maisha ya wananchi,,Mnalipwa fedha nyingi bungeni ,badala yake mnazidi kuwapandishia wananchi gharama za maisha
KUNA NINI NYUMA YA PAZIA?, mtueleze wananchi kuna nini kwenye uchumi,wananchi wanawalipa mishahara ,magari mazuri na kila raha njema mmepewa mmeshindwa kushughulikia matatizo yaha ya msingi.CCM ndio chama tawala bungeni mpo 100%.
Mumefunga midomo mnatuletea comedy za Gwajima ,mnaacha mambo ya msingi yanayogusa maisha ya wananchi,,Mnalipwa fedha nyingi bungeni ,badala yake mnazidi kuwapandishia wananchi gharama za maisha