SAUTI YAKO
JF-Expert Member
- Jan 25, 2014
- 2,918
- 1,993
Wakuu nimetoka kutegea sikio taarifa ya habari iliorushwa na radio ya fm ambayo imetangaza kuwa katika mkoa wa mji kasoro bahari baadhi ya bidhaa zimepanda bei, pia ikumbukwe kuna maeneo nyama pia imepandishwa bei.
Wakuu wajuzi wa mambo tatizo ni nini naomba tufumbuane macho.
Mungu Ibariki Tanzania
Wakuu wajuzi wa mambo tatizo ni nini naomba tufumbuane macho.
Mungu Ibariki Tanzania