TataMadiba
JF-Expert Member
- Feb 7, 2014
- 9,866
- 5,742
- Thread starter
- #41
Suala la dangote sio tatizo la kiufundi, wewe ndo unaleta propaganda hapa
Suala la dangote sio tatizo la kiufundi, wewe ndo unaleta propaganda hapa
Wewe siyo size ya Makonda mkuu. Chuki zako binafsi dhidi yake unapoteza muda. Hata hivyo unatupoteza muda kama unataka anzisha mada yako na Makonda, hapa siyo mahali pake. Mapovu kibao yanayokutoka hayatasaidia kitu, Makonda ni RC wewe na njaa zako utakufa bure na pressure jambo la msingi jipange tu na wewe mkono upate kwenda kinywani. Kama mlisoma wote, wewe kuwa mpole tu ndo umeshapigwa gepu hivyo.Mbona Makonda nilishamshinda siku nyingi sana!
1.Hawezi kuwa bright kama mimi
2.Hawezi kuwa na proper management skills kama zangu
3.Hawezi kupata kazi kwa kuzingatia weledi na performance.
4.Sikuajiriwa kwa kupiga Waziri Mkuu.
5.Nimefanikiwa kwa kutumia elimu niliyonayo,uwezo wangu na kuheshimu wakubwa na wadogo.
6.Sijazoe kuropoka hovyo mikutanoni.
7.Nina weledi unafaa kuigwa na jamii yangu.
8.Ninajitambua kwa asilimi 100
9.Ninajua haki zangu kama raia na mfanyakazi.
10.Ninamuogopa sana Mungu aliyenipa uhai.
Na mengine mengi ambayo nina uhakika kwa asilimia 100 nimemzidi Makonda sana tu
Wewe siyo size ya Makonda mkuu. Chuki zako binafsi dhidi yake unapoteza muda. Hata hivyo unatupoteza muda kama unataka anzisha mada yako na Makonda, hapa siyo mahali pake. Mapovu kibao yanayokutoka hayatasaida, Makonda ni RC wewe na njaa zako utakufa bure na pressure. Kama mlisoma wote, wewe kuwa mpole tu ndo umeshapigwa gepu hivyo.
Tangu kuingia Madarakani kwa Serikali ya Awamu ya tano inayoongozwa na Rais Dkt. John Pombe Magufuli, Vyama vya upinzani hususan chama kikuu cha Upinzani cha CHADEMA kimetoa maelekezo kwa vijana wake walioko katika mitandao mbalimbali ya kijamii kuandika taarifa za uongo dhidi ya serikali.
Maelekezo yenye lengo la kudhoofisha kasi ya utendaji kazi wa serikali ya Magufuli yamekuja baada ya Upinzani kukosa hoja za msingi za kuuwezesha kujijenga.
Baadhi ya Uzushi ambao kwa makusudi uliandaliwa na vijana hao kwa maelekezo ya viongozi wao ni pamoja na:
1. Kwamba Makamu wa rais, Samia Suluhu Hassan aliandika barua ya kujiuzulu kwa sababu eti hakuwa na maelewano na rais Magufuli
2. Kwamba Makamu wa Rais aliiagiza mamlaka husika kuzima internet kuanzia asubuhi hadi jioni ili kuwezesha watumishi kufanyakazi
3. Kwamba Rais, Dkt. Magufuli alitengua uteuzi wa RC wa Arusha, Mrisho Gambo
4. Kwamba kiwanda cha Saruji cha DANGOTE kimesitisha uzalishaji kutokana na kupanda kwa gharama za uzalishaji wakati kumbe ni kutokana na tatizo la kiufundi
5. Kwamba Benki ya CRDB itafunga matawi yake yote nchini kuanzia mwezi januari 2017 ili kupunguza gharama za uendeshaji za benki hiyo
6. Kwamba Waziri wa elimu na mafunzo ya ufundi, Prof. Joyce Ndalichako atangaza kuwa Walimu wote wangeshonewa sare za kuvaa wawapo kazini
7. Kwamba Kifaru cha jeshi kiliuzwa
Huo ni baadhi tu ya uzushi ambao umekuwa ukienezwa na vijana hawa ambao wamekuwa tegemeo la propaganda za wanasiasa baada ya Serikali ya awamu ya tano kuonekana kufanyakazi kwa umakini zaidi na hivyo upinzani kukosa hoja za kupanda nazo kwenye majukwaa ya kisiasa.
Mytake: Ni wakati sasa serikali iubaini mtandao huu wa kutengeneza uzushi na kuuchukulia hatua za kisheria. Aidha Wananchi na sisi tujiepushe na uongo wa aina hii na tumuunge mkono rais bila kujali itikadi za vyama, dini na makabila yetu kwani kazi anayoifanya ni ngumu, ina vikwazo na hujuma nyingi zikiwemo hizi za kutaka kuidhoofisha serikali yake kwa maneno ya uongo.
Ufafanuzi huu hawataki kabisa kuusikia hawa Nyumbu
Umesema kweliTatizo na wewe mleta mada umejaa majungu mdomo wako mrefu kama bata.
Wewe kazi yako kukashifu wapinzani hiyo ndiyo tabia yenu wote.
Mimi binafsi naona JPM anafanya kazi kubwa hadi nawaza huyu mzee wetu anapata usingizi kweli? Nchi hii imejaa matatizo lukuki na naamini Magu angependa ayapunguze.....hususani corruption na uzembe kazini.
Wewe unayejiita Tata Madiba post nyingi unaandika chuki tu.....wala huonekani mwenye mchango wa maana na hicho chama chako CCM.
Pengine nyie mnaopiga domo hapa daily mnafurahi mkienda kusimulia friends zenu kwamba nyie ni hodari kubishana JF.
Acheni mambo ya ujuha vijana wa CCM na CHADEMA.....fanyeni kazi.
Hapa tunaongelea tabia ya kuzusha mambo kama suala la "people of Rwanda" lilivyozushwa hapa JFMnachojua ni kujitoa ufahamu. Forbes inahusiana vipi na mada hii?
Kwamba mikutano ya kisiasa yanje marufuku, kwamba bunge live marufuku, mikopo ya wanafunzi marufuku mbn hujayasema haya.Tangu kuingia Madarakani kwa Serikali ya Awamu ya tano inayoongozwa na Rais Dkt. John Pombe Magufuli, Vyama vya upinzani hususan chama kikuu cha Upinzani cha CHADEMA kimetoa maelekezo kwa vijana wake walioko katika mitandao mbalimbali ya kijamii kuandika taarifa za uongo dhidi ya serikali.
Maelekezo yenye lengo la kudhoofisha kasi ya utendaji kazi wa serikali ya Magufuli yamekuja baada ya Upinzani kukosa hoja za msingi za kuuwezesha kujijenga.
Baadhi ya Uzushi ambao kwa makusudi uliandaliwa na vijana hao kwa maelekezo ya viongozi wao ni pamoja na:
1. Kwamba Makamu wa rais, Samia Suluhu Hassan aliandika barua ya kujiuzulu kwa sababu eti hakuwa na maelewano na rais Magufuli
2. Kwamba Makamu wa Rais aliiagiza mamlaka husika kuzima internet kuanzia asubuhi hadi jioni ili kuwezesha watumishi kufanyakazi
3. Kwamba Rais, Dkt. Magufuli alitengua uteuzi wa RC wa Arusha, Mrisho Gambo
4. Kwamba kiwanda cha Saruji cha DANGOTE kimesitisha uzalishaji kutokana na kupanda kwa gharama za uzalishaji wakati kumbe ni kutokana na tatizo la kiufundi
5. Kwamba Benki ya CRDB itafunga matawi yake yote nchini kuanzia mwezi januari 2017 ili kupunguza gharama za uendeshaji za benki hiyo
6. Kwamba Waziri wa elimu na mafunzo ya ufundi, Prof. Joyce Ndalichako atangaza kuwa Walimu wote wangeshonewa sare za kuvaa wawapo kazini
7. Kwamba Kifaru cha jeshi kiliuzwa
Huo ni baadhi tu ya uzushi ambao umekuwa ukienezwa na vijana hawa ambao wamekuwa tegemeo la propaganda za wanasiasa baada ya Serikali ya awamu ya tano kuonekana kufanyakazi kwa umakini zaidi na hivyo upinzani kukosa hoja za kupanda nazo kwenye majukwaa ya kisiasa.
Mytake: Ni wakati sasa serikali iubaini mtandao huu wa kutengeneza uzushi na kuuchukulia hatua za kisheria. Aidha Wananchi na sisi tujiepushe na uongo wa aina hii na tumuunge mkono rais bila kujali itikadi za vyama, dini na makabila yetu kwani kazi anayoifanya ni ngumu, ina vikwazo na hujuma nyingi zikiwemo hizi za kutaka kuidhoofisha serikali yake kwa maneno ya uongo.
Mtajisemea wenyewe wao kimia, mtendaji husifiwa siyo kujisifia, uchumi chali mtakoma. Hasa nyieHivi kunaupinzani tanzania tena? Kama ni hawa waliochukua wagombea kutoka ccm, siwa amini tena. Hata wanainchi walisha wapuuza mda mrefu.
Mungu wa darKuna watu wanakera sana. Ningekuwa mimi ningeongea kwa maneno makali sana kuliko yale ya Makonda. Ardhi Kinondoni ni miongoni mwa taasisi zinazofanya vibaya sana