Tetty
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 26,356
- 21,390
Kuna watu wanakera sana. Ningekuwa mimi ningeongea kwa maneno makali sana kuliko yale ya Makonda. Ardhi Kinondoni ni miongoni mwa taasisi zinazofanya vibaya sana
Hata kama zinafanya vibaya ,bado sheria za wafanyakazi na utu wa mtu lazima ulindwe.Ni Upumbavu kutukana hadharani wakati uanyemtukana ndiye anayetakiwa kwenda kumsiaida mshtaki.Ndiyo sababu Mfalme Suleima aliomba hekima na busara ili awatawale watu wake.Uongozi wa awamu ya tano umekosa kabisa hekima na busara.Kila uchao ni makengeza tu tunayaona.Hatuoni chochote cha maana zaidi ya majisifu na majigambo.Mimi hivi, mimi mimi mimi.....Miaka mitano si mingi tutaishia na matusi kwenye mihadhara tu na kukimbizana na wapinzani cha maana hakuna