Kupaka rangi nyumba kunahitaji kibali. Nani wanatunga Sheria hizi?

Hii nchi ya KISENGE saana, nafatilia kibali cha ujenzi wa fremu, nimechukua fomu nimejaza, wameniambia fanya hiki na kile nimefanya.. Nimechoresha ramani, ikaja kwenda kulipia.. Wananiambia uje na risiti ya urasimishaji, naifatilia mtihani watu wamefunga ofisi, wananiambia uje na ramani ya mji bila hivyo huwezi kupata kibali.. Kwenye fomu hiki kipengele hakipo

Nimeishia kuwaambia hizo fomu wachome moto tu, pesa yangu na bado inipe tabu.
 
Laizma huyo atakuwa Ndugai
Sheria zilizotungwa zinatuumiza.

Nilikuwa napiga rangi nyumba yangu nikakamatwa sina kibali cha ujenzi.

Hivi hata kupiga rangi tu kibali? Na kuna sheria ya ku-park gari pembeni ya barabara umewasha hazard unakamatwa hata kama imeharibika.

Watunga sheria hizi ni kina nani?
 
wananchi tumekalia simba/ yanga mengine hatujui watanzania sijui ni upole . sheria hizi nyingi zinatungwa na madiwani wapige pesa. na kuna kitu nataka niwafahamishe utaona mbele ya nyumba yako au jirani kwako watu wamekaa wanapiga story wengi wao huwa wana kula na halmashauri wakimuona mtu analeta matofali au anaaza kupiga rangi wana namba zao za simu wanawapigia na wao wanapewa mshiko kidogo hiyo ndio kazi yao mitaani mashushushu
 
Sheria zilizotungwa zinatuumiza.

Nilikuwa napiga rangi nyumba yangu nikakamatwa sina kibali cha ujenzi.

Hivi hata kupiga rangi tu kibali? Na kuna sheria ya ku-park gari pembeni ya barabara umewasha hazard unakamatwa hata kama imeharibika.

Watunga sheria hizi ni kina nani?
Ni wazi wamekopi na kupesti sheria za uk
 
Sheria zilizotungwa zinatuumiza.

Nilikuwa napiga rangi nyumba yangu nikakamatwa sina kibali cha ujenzi.

Hivi hata kupiga rangi tu kibali? Na kuna sheria ya ku-park gari pembeni ya barabara umewasha hazard unakamatwa hata kama imeharibika.

Watunga sheria hizi ni kina nani?
Mtumia fito wa Kongwa huyo
 
Sheria zilizotungwa zinatuumiza.

Nilikuwa napiga rangi nyumba yangu nikakamatwa sina kibali cha ujenzi.

Hivi hata kupiga rangi tu kibali? Na kuna sheria ya ku-park gari pembeni ya barabara umewasha hazard unakamatwa hata kama imeharibika.

Watunga sheria hizi ni kina nani?
Darasa la saba mliowaweka mjengoni na proposal
 
Nchii ukiambia wananchi tuna ubinafsi ambao umesababishwa na upungufu wa akili mtu atakataa, watanzania hatuna akili, sheria zinatungwa kuendelea kumfanya maskini aendelee kuwa maskini.

Sheria zinatungwa kwa kuangalia ulaya na si nchi ikoje
 
Hii nchi ya KISENGE saana, nafatilia kibali cha ujenzi wa fremu, nimechukua fomu nimejaza, wameniambia fanya hiki na kile nimefanya.. Nimechoresha ramani, ikaja kwenda kulipia.. Wananiambia uje na risiti ya urasimishaji, naifatilia mtihani watu wamefunga ofisi, wananiambia uje na ramani ya mji bila hivyo huwezi kupata kibali.. Kwenye fomu hiki kipengele hakipo

Nimeishia kuwaambia hizo fomu wachome moto tu, pesa yangu na bado inipe tabu.
rushwa rushwa rushwa rushwa rushwa sawa sawa na umasikini kwa wananchi na Taifa
 
Wananchi tunapaswa tujitoe mhanga ifike mahali tuwe tunaamua tujiongoze vip na si genge la wezi kwa mgongo wa madiwani na wabunge wanaojinemesha, wanatunga sheria kwa kutafuta posho huku mwananchi wa chini anaendelea kuwa fukara
 
Sheria zilizotungwa zinatuumiza.

Nilikuwa napiga rangi nyumba yangu nikakamatwa sina kibali cha ujenzi.

Hivi hata kupiga rangi tu kibali? Na kuna sheria ya ku-park gari pembeni ya barabara umewasha hazard unakamatwa hata kama imeharibika.

Watunga sheria hizi ni kina nani?
Ni wale walio na weledi wakitanzania.
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom