Wadau mtakubaliana nami kwamba kumekuwa na ongezeko la watu ambao wamekuwa wakiota vinyama (muundo wa kipele) vingi vingi usoni, ukimtizama mwenye navyo mwili unapata kamshtuko
Je hii inasababishwa na nini?
Kama vile alivyo ZZK? ?
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us