k29 JF-Expert Member Dec 14, 2014 726 1,194 Jul 7, 2016 #21 Acha niendelee kuangalia muvi za Hollywood naona siasa cwez napita 2
Full 8 JF-Expert Member Nov 11, 2010 313 271 Jul 7, 2016 #22 Fanya kazi acheni longolongo, nchi ikipasuka mtakua mmeipasua ninyi.
Amoxlin JF-Expert Member May 30, 2016 3,784 4,097 Jul 7, 2016 #23 Hivi Somalia nayo iliwahi kuwa na amani kabla ya kuwa kama ilivyo sasa? Natazamia ipo siku tutazama ktk dimbwi kubwa na hakuna atakaetoka salama.
Hivi Somalia nayo iliwahi kuwa na amani kabla ya kuwa kama ilivyo sasa? Natazamia ipo siku tutazama ktk dimbwi kubwa na hakuna atakaetoka salama.
Ngisibara JF-Expert Member Jan 2, 2009 3,301 2,076 Jul 7, 2016 #24 Kuongoza inchi sio tu uwe na busara na hekima bali pia ujue kupiga pushup za nguvu jukwaani