Kuongezeka kwa muda wa kubadilisha taarifa za wateja wa mabenki

Maswa

Member
Feb 17, 2011
50
3
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
WATEJA WAONGEZEWA MUDA KUREKEBISHA TAARIFA BENKI
BENKI Kuu ya Tanzania imeongeza muda wa mwaka mmoja kwa wateja wa benki zote nchini kuboresha taarifa zao kuanzia kesho Machi 15, 2012 hadi Machi 14, 2013. Benki na taasisi zote za fedha zimejulishwa kuzingatia kikamilifu agizo hili. Agizo la awali lilitamka kwamba muda wa kuboresha taarifa za wateja wa benki ungelimalizika leo.Mwaka jana (2011) Waziri wa Fedha na Uchumi, Bw. Mustafa Mkulo, alitoa kipindi cha muda wa mwaka mmoja kuanzia Machi 15, 2011 hadi Machi 14, 2012 kwa ajili ya zoezi hilo. Hii ilikuwa ni kuziwezesha benki zote kuzingatia kanuni zilizomo katika Sheria ya Kudhibiti Fedha Haramu.Wakati huo huo, Benki Kuu ya Tanzania inawataka wananchi na wateja wa benki nchini kutimiza wajibu wao kwa kujaza fomu za taarifa zao ili kuepuka usumbufu unaoweza kujitokeza kwa kushindwa kutimiza sharti hilo la kisheria.
Imetolewa na Idara ya Uhusiano na Itifaki
BENKI KUU YA TANZANIA
Machi 14, 2012

PRESS RELEASE
CUSTOMERS GIVEN MORE TIME TO UPDATE BANK RECORDS
THE Bank of Tanzania (BoT) has extended the deadline for bank customers to update their bank data for a period of one year starting from tomorrow March 15, 2012 to March 14, 2013. Following this new development, all banks and financial institutions have been informed and asked to comply as the initial deadline issued last year was expected to end today. The extension follows consultations with the Ministry of Finance and Economic Affairs. The Minister for Finance and Economic Affairs, Mr. Mustafa Mkulo, granted a one-year moratorium (March 15, 2011 to March 14, 2012) for banks to comply with the Anti-Money Laundering Regulations, 2007 to enable banks to regularize/update all accounts opened prior to the coming into force of the Anti-Money Laundering Act. Meanwhile, the Bank of Tanzania urges members of the public to comply with the requirement in order to avoid inconveniences that could result from failure to adhere to the directive of updating their personal information.
Issued by the Public Relations and Protocol Department
BANK OF TANZANIA
March 14, 2012
 
Mimi ni peasant. Hayanihusu!

Vizuri ila tambua kuwa peasant mzuri lazima awe na taarifa za nini kinaendelea katika nchi yake hasa ndiyo lengo la jumbe huu kuwekwa wana JF wajue! wewe kama hii taarifa haikuhusu uko primitive sana! Pole sana ndugu yangu....waache inayowahusu waendelee kuhabarishana!
 
shukran mkuu nadhani itakuwa ni fursa kwa walioshindwa kufanya hivyo kukamilisha ila je ac zitaendelea toa pesa kama kawaida kwa atm hili haswa ni kwa wale walio nje ya nchi wanategemea mastercard na viza ntaomba wanaofaham watujuze.
 
du safi sana maana muda wenyewe wa kwenda bank ku-update hamna kabisa
 
Mi nilienda kwenye tawi langu la NMB kufanya hivyo,jamaa akasema sina haja ya kuhakiki,so sijui inakuwaje...
 
Ndio maana baadhi ya watu wanasema "Tz ni kichwa cha mwendawazimu". Kutokana na hiyo habari, je kuna haja ya kufanya utafiti ili kuthibitisha ukweli?????
 
Vizuri ila tambua kuwa peasant mzuri lazima awe na taarifa za nini kinaendelea katika nchi yake hasa ndiyo lengo la jumbe huu kuwekwa wana JF wajue! wewe kama hii taarifa haikuhusu uko primitive sana! Pole sana ndugu yangu....waache inayowahusu waendelee kuhabarishana!
Heri yako wewe unayewaita wenzako primitive! Ngoja mimi nichukue jembe langu la mkono nikalime shambani.
 
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

WATEJA WAONGEZEWA MUDA KUREKEBISHA TAARIFA BENKI
BENKI Kuu ya Tanzania imeongeza muda wa mwaka mmoja kwa wateja wa benki zote nchini kuboresha taarifa zao kuanzia kesho Machi 15, 2012 hadi Machi 14, 2013. Benki na taasisi zote za fedha zimejulishwa kuzingatia kikamilifu agizo hili. Agizo la awali lilitamka kwamba muda wa kuboresha taarifa za wateja wa benki ungelimalizika leo.Mwaka jana (2011) Waziri wa Fedha na Uchumi, Bw. Mustafa Mkulo, alitoa kipindi cha muda wa mwaka mmoja kuanzia Machi 15, 2011 hadi Machi 14, 2012 kwa ajili ya zoezi hilo. Hii ilikuwa ni kuziwezesha benki zote kuzingatia kanuni zilizomo katika Sheria ya Kudhibiti Fedha Haramu.Wakati huo huo, Benki Kuu ya Tanzania inawataka wananchi na wateja wa benki nchini kutimiza wajibu wao kwa kujaza fomu za taarifa zao ili kuepuka usumbufu unaoweza kujitokeza kwa kushindwa kutimiza sharti hilo la kisheria.
Imetolewa na Idara ya Uhusiano na Itifaki
BENKI KUU YA TANZANIA
Machi 14, 2012


PRESS RELEASE
CUSTOMERS GIVEN MORE TIME TO UPDATE BANK RECORDS
THE Bank of Tanzania (BoT) has extended the deadline for bank customers to update their bank data for a period of one year starting from tomorrow March 15, 2012 to March 14, 2013. Following this new development, all banks and financial institutions have been informed and asked to comply as the initial deadline issued last year was expected to end today. The extension follows consultations with the Ministry of Finance and Economic Affairs. The Minister for Finance and Economic Affairs, Mr. Mustafa Mkulo, granted a one-year moratorium (March 15, 2011 to March 14, 2012) for banks to comply with the Anti-Money Laundering Regulations, 2007 to enable banks to regularize/update all accounts opened prior to the coming into force of the Anti-Money Laundering Act. Meanwhile, the Bank of Tanzania urges members of the public to comply with the requirement in order to avoid inconveniences that could result from failure to adhere to the directive of updating their personal information.
Issued by the Public Relations and Protocol Department
BANK OF TANZANIA
March 14, 2012



mie nilijuwa kuwa itakuwa hivyo kutokana na historia ya bongo ni kuwekana kwenye presha halafu inakuwa hivi. walisema usiposajiri simu mwisho tarehe furani walioitaja ilipofika wakaongeza muda na baadae kimyaaaaaaaaaaaa.
wakaja na noti mpya ambazo walisema mwisho mwezi wa sita mwakajana kutumia noti za zamani lakini mpaka leo zinatumika. bongo yetu wanaweka msukumo pale ambapo serikali unachukua pesa kutoka kwa wananchi direct mfano kubadirisha reseni za magari, pass za kusafiria, kuanzisha vituo vya kukusanyia ushuru au kodi mbalimbali hata kama hapajakaa sawa watarazimisha watu waanze kulipia mfano kituo cha kukusanyia ushuru kwenye magari Irula na mengine mengi.
 
Heeeh kumbe ilikuwa mwisho tarehe 14March2012 duh akaunti zangu zote nilikuwa zijaziupdate ingekula kwangu asante BOT nitafanya upesi.
 
Back
Top Bottom