Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 2,546
- 2,986
Ukweli kuwa kila mtu hivi sasa akifanikiwa katika kidogo katika mziki anawaza kuanzisha lebal na studio mfn allykiba,diamond,barnaba,cristian bella,banana zolo n.k.
naomba kujadili au niulize je mziki wa bongo utakuwa au kudondoa kwa kuongezeka hizi studio maana kuna urupurupu wa mastudio mtaani kila mtu producer...
..kazi njema waadau.....
naomba kujadili au niulize je mziki wa bongo utakuwa au kudondoa kwa kuongezeka hizi studio maana kuna urupurupu wa mastudio mtaani kila mtu producer...
..kazi njema waadau.....