AVANTES
JF-Expert Member
- Sep 17, 2014
- 353
- 307
Iviii zile kodi za miamala za simu zilizokuwa imposed ni kodi ipi ilifutwa ilii izo za miamala ya simu iwe mmbadalaaUnapoondoa kodi lazima uwe na mbadala wa mapato ya kodi hiyo kwa haraka ili nchi iendelee kujiendesha
Kuondoa kodi siyo kitu rahisi kama unavyofikiria, huo siyo ushauri rafiki na haiwezekan