Mgoyangi
Senior Member
- Feb 6, 2008
- 184
- 9
Tume ya uchaguzi imesema ina nia ya kuongeza idadi ya majimbo ya uchaguzi -- Ukumbi wa Bunge una uwezo wa kuchukua wabunge wengine 23 kutoka idadi ya 323 na kulifanya Bunge letu tukufu kuwa na wabunge 326.
Hapa TZ tupo milioni 40 na wabunge ni hao 326 --- Jaji Mark Bomani anahoji Marekani ina watu milioni 300 lakini idadi ya wabunge ni 425, Angalia India anasema ina raia bilioni moja lakini wabunge ni 542.
Je tunachokifanya hapa ni kuonesha demokrasia ama matumiz mabaya ya rasilimali maana ukiangalia uwiano inachekesha pamoja na umaskini wetu.
Hivi ni majimbo mangapi ambayo yameomba kuongezwa kupitia vikao vya halsmahasuiri za wilaya na haya yataongeza kiasi gani cha fedha katika uchaguzi na uendeshaji wa bunge. Naombeni Nondo
Hapa TZ tupo milioni 40 na wabunge ni hao 326 --- Jaji Mark Bomani anahoji Marekani ina watu milioni 300 lakini idadi ya wabunge ni 425, Angalia India anasema ina raia bilioni moja lakini wabunge ni 542.
Je tunachokifanya hapa ni kuonesha demokrasia ama matumiz mabaya ya rasilimali maana ukiangalia uwiano inachekesha pamoja na umaskini wetu.
Hivi ni majimbo mangapi ambayo yameomba kuongezwa kupitia vikao vya halsmahasuiri za wilaya na haya yataongeza kiasi gani cha fedha katika uchaguzi na uendeshaji wa bunge. Naombeni Nondo