Enzi zileeeeeeeeee
Ikifika Mida kama hii umetia vocha yako unaanza kumpigia demu wako apo mpaka Alfajiri
Hivi stori gani nzuri za kupiga usiku ili usichoke kuongea na simu Mara moja ???
Hii biashara nilifanyaga high school nadhani na wewe ndo upo stage hiyo
Mnhhh!!Nilifanya O-level,.kwasasa hata robo saa simalizi.
Wasubiri malimbukeni wa mapenzi waje watakupa jibu