RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 51,719
- 107,834
Ndio. Kazi na dawa.Ndio uwabambie mahala pa kazi
Ndio. Kazi na dawa.Ndio uwabambie mahala pa kazi
You are no longer my pachaNdio. Kazi na dawa.
Unakuwa kama unaishi matogoro bana....Good evening brothers and sisters.
Kuna jambo nimekuwa nalishuhudia mara kwa mara na limekuwa likinipa maswali kadhaa. Ni kuhusu wanaume kuongea maneno "nasty" kwa wahudumu hasa wa migahawani na sehemu nyingine na wengine hadi wanawachezea miili yao.
Leo niliingia sehemu kupata mtori asubuhi sasa pembeni nilikuwa nimekaa na bro mmoja mtu mzima kabisa na watu wengine pembeni, huyu bro akamwita muhudumu ambaye ni wa kike, yule muhudumu alikuja na kuanza kumsikiliza jamaa, jamaa likaropoka"unanitolea macho hivo unataka nini kutoka kwangu, au dudu?" huku akijichekesha chekesha. Aisee nilimshangaa sana jamaa, kulikuwa na ulazima gani wa kuongea vile tena sehemu yenye watu wengi?
Wengine wanaendaga mbali na kuanza kuwashika miili yao. Naona hili sio jambo zuri, watu waheshimu kazi za watu.
Au hii ni package iliyopo kwenye kuhudumiwa? Maana linakuwa kama ni jambo la kawaida kwa hawa wahudumu wa kike.
hapana, mi ndio uyo jamaa niliemtiz uyo dadaKwani wewe ndio ulikuwa unabambiwa?!
Ukute mtoa mada nae anapenda kushikwaWe ulienda kunywa mtori au kusikiliza maneno ya "ki-nasty"?
In short wanawake huwa hatupendi hyo tabia ya kuzalilishwa maana mtu Yuko kaziniNa kupitia hii situation nilimwambiaga wife kitu kinachoitwa kukufungulia mgahawa sahau jpo kila siku anatamani,mkeo akiwa mama ntilie atanyanyasika sana watamshka makalio,watamchezea wanaume tubadilikeni na tuwe na roho za huruma kwa wenzetu,bora wew ulkasrika tu mm nlishawahi kumlamba mtu kofi kwa ujinga huo
Mkeo kasafiri nini mkuu?Good evening brothers and sisters.
Kuna jambo nimekuwa nalishuhudia mara kwa mara na limekuwa likinipa maswali kadhaa. Ni kuhusu wanaume kuongea maneno "nasty" kwa wahudumu hasa wa migahawani na sehemu nyingine na wengine hadi wanawachezea miili yao.
Leo niliingia sehemu kupata mtori asubuhi sasa pembeni nilikuwa nimekaa na bro mmoja mtu mzima kabisa na watu wengine pembeni, huyu bro akamwita muhudumu ambaye ni wa kike, yule muhudumu alikuja na kuanza kumsikiliza jamaa, jamaa likaropoka"unanitolea macho hivo unataka nini kutoka kwangu, au dudu?" huku akijichekesha chekesha. Aisee nilimshangaa sana jamaa, kulikuwa na ulazima gani wa kuongea vile tena sehemu yenye watu wengi?
Wengine wanaendaga mbali na kuanza kuwashika miili yao. Naona hili sio jambo zuri, watu waheshimu kazi za watu.
Au hii ni package iliyopo kwenye kuhudumiwa? Maana linakuwa kama ni jambo la kawaida kwa hawa wahudumu wa kike.
Roger that,tuwaheshimu wanawake.Hivi yule mzee baba hizi si ndiyo zake za kudhalilishaga dada zetu majukwaani?
Bila kupepesa macho tabia kama hizi ni za kukemewa na bila kuangalia makunyanzi ya mtu.
Ni tabia tabia za kishamba tu.
Mkuu sasa ni lazima kuyapuka?..tulikuwa maeneo ya hospital na huo mgahawa upo maeneo hayo,na tulikuwa tumekaa watu wa rika tofauti kila mtu yupo kimya..from now where tu jamaa likaropoka..aisee lazima usome mazingiraDarmian wengine mademu zetu usishangae tukiwabambia wewe kunywa mtori wako tu
Sijui, ila na mie nilikuwa na haka katabia kaku watania wadada na sio kwenye migahawa midogo, ni hotel kubwa, au migahawa mikubwa huwa naona wana furahi zamani kidogo wengine hadi nilikuwa nawala ki masihara.. Ila siku hizi sifanyi hivyo tena.. wapo unao watania wanajua kweli wamajimilikisja siku ukifika unasikia shemeji shemeji sasa kama upo na mtu wa heshima ndio utakoma.. hapo lazima ubebe msalaMfano kwa hii case niliyoisema sio bar..ni mgahawa ambao hata vilevi hamna na penyewe zina-apply zile za kibar bar?
Kwahiyo ukiwa unakunywa mtori masikio unaziba?We ulienda kunywa mtori au kusikiliza maneno ya "ki-nasty"?
Ha ha ha aibu ukaona weweMkuu sasa ni lazima kuyapuka?..tulikuwa maeneo ya hospital na huo mgahawa upo maeneo hayo,na tulikuwa tumekaa watu wa rika tofauti kila mtu yupo kimya..from now where tu jamaa likaropoka..aisee lazima usome mazingira
Good evening brothers and sisters.
Kuna jambo nimekuwa nalishuhudia mara kwa mara na limekuwa likinipa maswali kadhaa. Ni kuhusu wanaume kuongea maneno "nasty" kwa wahudumu hasa wa migahawani na sehemu nyingine na wengine hadi wanawachezea miili yao.
Leo niliingia sehemu kupata mtori asubuhi sasa pembeni nilikuwa nimekaa na bro mmoja mtu mzima kabisa na watu wengine pembeni, huyu bro akamwita muhudumu ambaye ni wa kike, yule muhudumu alikuja na kuanza kumsikiliza jamaa, jamaa likaropoka"unanitolea macho hivo unataka nini kutoka kwangu, au dudu?" huku akijichekesha chekesha. Aisee nilimshangaa sana jamaa, kulikuwa na ulazima gani wa kuongea vile tena sehemu yenye watu wengi?
Wengine wanaendaga mbali na kuanza kuwashika miili yao. Naona hili sio jambo zuri, watu waheshimu kazi za watu.
Au hii ni package iliyopo kwenye kuhudumiwa? Maana linakuwa kama ni jambo la kawaida kwa hawa wahudumu wa kike.