Salathiel m.
Senior Member
- Mar 12, 2011
- 185
- 41
Kuna watu wanatabia ya kuongea kizungu au wanachanganya changanya kiswahil na kizungu ili tu waonekane wajanja au wasomi au tu kupenda sifa. anaona ataonekana mshamba akiongea kiswahili moja kwa 1,kumbe ni ujinga mtupu wenzetu wachina wakienda nchi yoyote hua wanaongea lugha yao nyie mnawaona kama awajasoma,kujua kizungu sio usomi kuna nchi watu wake wanatumia kiingereza bado utakuta wanakabiliwa na tatizo la watu kutojua kusoma na kuandika. HUO NI UTUMWA KUSHOBOKEA LUGHA YA WATU,JE ELIMU YAKO IMEKUKOMBOA AU NDO IMEKUFANYA UWE MJINGA?
Nawakilisha.
Nawakilisha.