Nahis wa kwanza ni Mwijage na wa 2 ni Henry Mwaniri mkuu wa mkoa Tabora.Basi Wabunge wa Chadema wataugua.. Maana wanaongoza kwa kutumia nguvu sana.. Wasikilize kina Lisu, Msigwa, Zitto.. Wanavyopayuka
Mwanzoni kabisa mwa mada nimeandika hivi: NISINGEPENDA KUMJADILI MTU BALI HOJA....Kila mtu ana hulka yake ta kuongea, mtizame EL anavyoongea, taratibu, kwa upole, hatoi sauti kubwa.
Je, kila mtu aongee vile? Nope! Kama vile ambavyo sura zetu hazifanani(can you imagine dunia ya watu billions lakini wanaofanana kwa sura ni wachache sana) acheni kila mtu aongee jinsi alivyoumbwa kuongea.
Eventually utajadili figures coz animals don't talk, we humans do. Nimetoa mfano wa EL coz he's a popular political figure, siwezi kutoa mfano wako coz I know not about you.Mwanzoni kabisa mwa mada nimeandika hivi: NISINGEPENDA KUMJADILI MTU BALI HOJA....
Jr
Ooh I can seeEventually utajadili figures coz animals don't talk, we humans do. Nimetoa mfano wa EL coz he's a popular political figure, siwezi kutoa mfano wako coz I know not about you.
Kumbuka pia influence ya kabila na lugha zao hufanya watu wa-stress maneno wakiongea.
If you could only LIVE AND LET LIVE, the world would be a better place.