howard
Senior Member
- Feb 21, 2011
- 188
- 28
Jamani nilikuwa naangalia marudio ya kile kikao chao cha nec hakuna ubishi hawa jamaa wamekwenda na maji maana raisi aloip[ofikia hipo point kuwa wamekubaliana kwamba either wajiuzuru wenyewe au wakichelewa watawajibishwa yaani mpk sura yakke ilibadilika it was too emotional kuonyesha kwamba ni suala gumu ila inabidi lifanyike na chiligati baadae akaja kulikazia kwa kuongea wale wote wanaotajwa kama mafisadi wajitoe wenyewe otherwise ccm itawawajibisha. Kwa hjiyo nahisi hapo hakuna kubebana tena ni kuondoka tu kwa hao jamaa ila naitamani hiyo siku watakayotamka wenyewe na si kufukuzwa in aibu kubwa kwao itakuwa.lowasssa uraisi bai bai tena