sblandes
JF-Expert Member
- Apr 25, 2010
- 6,098
- 4,205
Mfumo wa CCTV haukuanza leo,Germany enzi za Nazi ya Adolf Hitler waliubuni,wakautengeza,wakautumia katika harakati ya vita kuu ya pili.
waliutumia kuangalia urushaji wa ndege za kivita yenye jet engine miaka ya 1943.
Ukisema Jet engine ni kitovu au zao la Germany kama ilivyo Diesel engine.
Lakini maendeleo makubwa ya mfumo huo yamewezesha na yanaendelea kutoka analogue hadi digital,na faida zake ziko wazi.
Swali kuu watanzania wanakuwa na mashaka na kuleta sintofahamu ni kwanini CCTV camera zilizofungwa kwenye block ya nyumba za vingunge akina Mh.Tundu Lissu kwanini ziliondolewa MARA BAADA YA SHAMBULIO?
Kama mfumo wake wa CCTV ulikuwa unafanya kazi wakati wa shambulio (Ilikuwa Active),ni wazi Video recorder ilifanya recording ya matukio hayo na KUYAHIFADHI.
Lakini bado kuna Monitor,TV,na Smartphone ambazo zimeunganishwa na recorder,ni wazi watu wengi watakuwa wameshuhudia tukio hilo.
Yanini kuandikia mate hali wino upo?
waliutumia kuangalia urushaji wa ndege za kivita yenye jet engine miaka ya 1943.
Ukisema Jet engine ni kitovu au zao la Germany kama ilivyo Diesel engine.
Lakini maendeleo makubwa ya mfumo huo yamewezesha na yanaendelea kutoka analogue hadi digital,na faida zake ziko wazi.
Swali kuu watanzania wanakuwa na mashaka na kuleta sintofahamu ni kwanini CCTV camera zilizofungwa kwenye block ya nyumba za vingunge akina Mh.Tundu Lissu kwanini ziliondolewa MARA BAADA YA SHAMBULIO?
Kama mfumo wake wa CCTV ulikuwa unafanya kazi wakati wa shambulio (Ilikuwa Active),ni wazi Video recorder ilifanya recording ya matukio hayo na KUYAHIFADHI.
Lakini bado kuna Monitor,TV,na Smartphone ambazo zimeunganishwa na recorder,ni wazi watu wengi watakuwa wameshuhudia tukio hilo.
Yanini kuandikia mate hali wino upo?