Kuondoka kwa GSM kudhamini ligi TFF wajitafakari

kavulata

JF-Expert Member
Aug 2, 2012
12,307
12,602
Mpira wetu ni Mali ya TFF, TFF ndio wenye mpira wao kwa mujibu wa Katiba ya TFF, cecafa, Caf na FIFA.

Viongozi wa TFF wajitafakari kama wanatosha kuendelea kuongoza mpira nchini kwa haki bila upendeleo na bila woga. TFF Ina mapungufu makubwa sana ya kufanya fairness kwa timu zake dhidi ya timu kubwa za Simba na Yanga, na kuvunjika kwa mkataba wa udhamini na GSM ni ushahidi tosha wa udhaifu huo.

Kama TFF inazo kanuni, maagizo, na adhabu zinazobagua timu ndogo na timu kubwa wanafaa kuondoka.
 
Aliyeweka hela ya Maana kwa kila timu ni Azam TV na NBC hao wengine hakuna la maana wafanyalo
 
NBC nao waige mfano wa GSM la sivyo na sisi wenye akaunti za NBC tutazifunga Akaunti zetu na kufungua Akaunti kwenye Benki zingine.
 
Kadhulumu wapi bro kama huna ushahidi usiropoke,utaabika

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
👇👇👇👇

91BE63EB-8F4E-4EA4-BE23-F1181F3B171B.jpeg
 
Kwa Alichofanya Jiesemu, Kuzidhulumu timu 15...Ni Ugaidi Kabisa....Afungwe.!
Huna akili hata y kuvukia barabara. GSM Hana mkataba na hizo timu 15, ila Wana mkataba na TFF. Hivyo GSM Hana lawama kwa timu. TFF ndo atajua hizo timu 15 unzosema atazilipa nini kiasi gani na lini. GSM iliingia mkataba na TFF kudhamini ligi yenye timu 16 sio 15, kama timu zilizotii mkataba w TFF na GSM ni 15 TU huko ni kuvunja mkataba.
 
Du mkuu ulisafiri ndo umerudi leo nini? hivi hujui kuwa gsm imevunja mkataba na tff lakini wakiwa bado hawajaingiza kiasi chochote kwenye timu zetu zote 15
Timu zikaidai TFF sio GSM maana GSM Haina mkataba na timu.
 
Pesa inapitia TFF sio kwa timu, wakaidai TFF yenye mkataba na GSM.

Katiba ya TFF ambayo haikupingwa wala kulalamikiwa na timu Wala wadau wengine wa mpira inaipa mamlaka TFF kuingia mikataba ya udhamini wa ligi bila kuhojiwa Wala kushirikisha timu yoyote. TFF iliingia mkataba wa udhamini na NBC bila kuzihusisha Wala kuomba maoni toka kwa timu yoyote, why udhamini w GSM ndo inatakiwa TFF ishauriane kwanza na timu zote kbla ya kusini mkataba?
 
Mpira wetu ni Mali ya TFF, TFF ndio wenye mpira wao kwa mujibu wa Katiba ya TFF, cecafa, Caf na FIFA.

Viongozi wa TFF wajitafakari kama wanatosha kuendelea kuongoza mpira nchini kwa haki bila upendeleo na bila woga. TFF Ina mapungufu makubwa sana ya kufanya fairness kwa timu zake dhidi ya timu kubwa za Simba na Yanga, na kuvunjika kwa mkataba wa udhamini na GSM ni ushahidi tosha wa udhaifu huo.

Kama TFF inazo kanuni, maagizo, na adhabu zinazobagua timu ndogo na timu kubwa wanafaa kuondoka.
[https://res]

MWENYEKITI wa Bodi ya Ligi Kuu Bara, Steven Mnguto, ameibuka na kusema licha ya wadhamini wenza Kampuni ya GSM kutangaza kujiondoa katika udhamini lakini hakuna klabu yoyote iliyolipwa.


Kauli hiyo imekuja ikiwa ni siku moja tangu GSM watangaze kujiondoa kudhamini klabu za ligi ambazo awali waliingia mkataba wa miaka miwili wenye thamani ya Sh 2.1Bil.


Akizungumza na Championi Jumatano, Mnguto alisema kuwa, hilo suala wamepanga kulizungumza hivi karibuni
mara baada ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) watakapokutana.


Mnguto alisema kuwa, wanasubiria wanasheria wao walipitie suala hilo na mwisho wa siku watalitolea ufafanuzi
kwa undani.


“Kiukweli tangu tuliposaini mkataba na GSM nikiri klabu hazijapata chochote. Klabu zimeitangaza GSM kwa muda wa miezi mitatu sasa, kwa hiyo tunasubiri wanasheria walipitie suala hilo tujue tunafanyaje.

“Hata suala la zile nembo kwenye mabega sijui kama zinaweza kutolewa haraka lakini hata hilo litafanyiwa
kazi kisheria,” alisema Mnguto.

Naye Mkurugenzi wa Habari na Masoko wa TFF, Boniface Wambura, akizungumzia hilo alisema: “Sisi
baada ya kupata barua kutoka GSM, suala la mkataba ni Bodi ya Ligi na ni vema akatafutwa Mnguto lakini
kwa upande wa sisi TFF hatuwezi kuzungumzia kila jambo.


“Tayari tumetoa tamko letu jana (juzi) kuhusiana na hilo baada ya kupata barua GSM.” Juzi TFF ilitoa taarifa
kuwa, Februari 7, mwaka huu walipokea barua ya kuvunja mkataba wa udhamini mwenza wa Ligi Kuu Bara
ya NBC kutoka Kampuni ya GSM, hivyo Shirikisho hilo linafanyia kazi barua hiyo na litatoa taarifa kwa wadau.
 
[https://res]

MWENYEKITI wa Bodi ya Ligi Kuu Bara, Steven Mnguto, ameibuka na kusema licha ya wadhamini wenza Kampuni ya GSM kutangaza kujiondoa katika udhamini lakini hakuna klabu yoyote iliyolipwa.


Kauli hiyo imekuja ikiwa ni siku moja tangu GSM watangaze kujiondoa kudhamini klabu za ligi ambazo awali waliingia mkataba wa miaka miwili wenye thamani ya Sh 2.1Bil.


Akizungumza na Championi Jumatano, Mnguto alisema kuwa, hilo suala wamepanga kulizungumza hivi karibuni
mara baada ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) watakapokutana.


Mnguto alisema kuwa, wanasubiria wanasheria wao walipitie suala hilo na mwisho wa siku watalitolea ufafanuzi
kwa undani.


“Kiukweli tangu tuliposaini mkataba na GSM nikiri klabu hazijapata chochote. Klabu zimeitangaza GSM kwa muda wa miezi mitatu sasa, kwa hiyo tunasubiri wanasheria walipitie suala hilo tujue tunafanyaje.

“Hata suala la zile nembo kwenye mabega sijui kama zinaweza kutolewa haraka lakini hata hilo litafanyiwa
kazi kisheria,” alisema Mnguto.

Naye Mkurugenzi wa Habari na Masoko wa TFF, Boniface Wambura, akizungumzia hilo alisema: “Sisi
baada ya kupata barua kutoka GSM, suala la mkataba ni Bodi ya Ligi na ni vema akatafutwa Mnguto lakini
kwa upande wa sisi TFF hatuwezi kuzungumzia kila jambo.


“Tayari tumetoa tamko letu jana (juzi) kuhusiana na hilo baada ya kupata barua GSM.” Juzi TFF ilitoa taarifa
kuwa, Februari 7, mwaka huu walipokea barua ya kuvunja mkataba wa udhamini mwenza wa Ligi Kuu Bara
ya NBC kutoka Kampuni ya GSM, hivyo Shirikisho hilo linafanyia kazi barua hiyo na litatoa taarifa kwa wadau.
Mikataba mingi Ina Ile tabia ya "all or none" yaani timu zote 16 au 0 kabisa. Huwezi kulipa mpaka utimize mashariti ya mkataba (timu 16 kuvaa logo na kuweka mabango uwanjani wakati wa conference na mechi), nothing less nothing more. Timu ambazo zilitimiza maagizo ya kuvaa logo kwa miezi 3 ziende TFF sio GSM.
 
Du mkuu ulisafiri ndo umerudi leo nini? hivi hujui kuwa gsm imevunja mkataba na tff lakini wakiwa bado hawajaingiza kiasi chochote kwenye timu zetu zote 15
Ungefuata ushauri wa jamaa,ilikuwa bora Sana.Aliyevunja mkataba ni TFF ambaye ameshindwa kutekeleza vifungu vya mkataba.TFF ame breach na GSM ni muathirika.GSM ndo ana haki ya kudai damages dhidi ya TFF
 
Huna akili hata y kuvukia barabara. GSM Hana mkataba na hizo timu 15, ila Wana mkataba na TFF. Hivyo GSM Hana lawama kwa timu. TFF ndo atajua hizo timu 15 unzosema atazilipa nini kiasi gani na lini. GSM iliingia mkataba na TFF kudhamini ligi yenye timu 16 sio 15, kama timu zilizotii mkataba w TFF na GSM ni 15 TU huko ni kuvunja mkataba.
Uko sawa kabisa,liability ya mkataba iko kwa parties hivyo hapa aliyebreach ni TFF siyo GSM.Timu zimdai TFF na GSM anatakiwa adai fidia dhidi ya TFF.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom