Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 18,658
- 22,255
Mayalla kwa usomi wako hautakiwi kuuliza swali la mwanafunzi wa shule ya msingi, mkoloni alikuwa hapa na alijenga reli, barabara na meli ziwa Victoria na Tanganyika, Nyerere wakati huo hakujenga hata kibanda cha kuishi yeye! Lakini Watanzania walimchagua.
JF of GT's has lost GT's.
JF of GT's has lost GT's.