umewezaje mkuuAiseee upo km mimi ilinilijua mapema sana kuwa nimeridhishwa kuwasaidia watu ovyo na wazazi wangu bas nikajifunza kuwa selfish in hard way...saivi naweza hata kumuambia rafiki yangu sina wakati zamani nilikuwa siwezi kabisa kusema sina nikililiwa shida
Mimi siamini usemalo "shukuru Mungu".Kila mtu anajinsi anavyoonekana.
Shukuru Mungu unaonekana ni mtu wa kuwasaidia wengine.
Cha msingi ujitawale na usiwe na huruma kupita kiasi kwani itakufanya usiendelee.
Kwa upande wangu sijui watu wananionaje kwani huniogopa na kutii mambo niyasemayo. Pia huamini kila nikisemacho hata kama hawanifahamu.
Jambo hili limenifanikisha kwenye mambo mengi ikiwemo uongozi, kupata temporary job n.k.
Tenda wema nenda zakoSijasema roho inaniuma, ila nilitaka kujua mawazo ya familia ya jf.
pole hauko peke yako,tuko pamoja.. nikitoa msaada lazima nitarudishiwa mara dufu ya nilichotoa ...ila sijawahi saidia mtu nisiyemjuaWakuu habari za wakati huu hope mko poa.
Tokea niko secondary mpaka sasa chuo, marafiki zangu, ndugu zangu, na watu wa karibu wakiwa na shida mara nyingi hunifuata mimi ili kuweza kuwasaidia. Mtu wangu wa karibu akihitaji kukopa kiasi kadhaa lazima mtu wa kwanza niwe mimi kufuatwa.
Na kweli uwezo wa kuwasaidia huwa uko ndani ya uwezo wangu. Lakini cha ajabu mimi bado sijaanza kujitegemea bado niko kwa wazazi mpaka nitakapomaliza chuo,
Ila hilo swala la jamaa zangu kuomba msaada kwangu hilo halinishangazi sababu wanajua nina uwezo huo wa kuwasaidia sababu wananifahamu,
Kilichonifanya mpaka kuandika thread hii. Mara nyingi nikiwa natembea barabarani nimeongazana na watu kadhaa mbele yangu, hutokea mtu ambaye simfahamu wala yeye hanifahamu atawapita wale wengine woote ila atakapofika kwangu atanisalimia baadae ataanza kueleza shida zake.
Mara nyingi huwa ni suala la kukwama kwenye nauli na kweli huwa nawasaidia, wengine utakuta amekwama kwenye kupata msosi anahitaji buku mbili, huwa nawasaidia. Na sio mara moja hiyo huwa inanitokea mara kwa mara.
Na pia naweza kupata rafiki kwenye social network baada ya kuzoeana Bila kuonana, siku akikwama lazima anicheki ilihali hafahamu hali yangu ikoje! Sasa mimi najiuliza huwa wanajuaje kama watapata msaada kwangu? Hili limenitisha baada ya kusoma makala moja, inayosema "kwanini watu wengi hawaendelei" na moja ya sababu iliyotajwa ni kupenda kutoa toa msaada kwa watu.
Yaaani eti ukiona kila mtu wako wa karibu akipata tatizo la kifedha wa kwanza kukimbiliwa Kuwa wewe unapaswa ujitafakari. Daaa wakuu hiyo point ilinigusa sana.
Ningependa kuona shuhuda za Wana jf wenye kesi kama zangu wao maisha yao yakoje??
Kuna dada nlimtumia 25,000 aje hadi leo bdo ypo njiani anakuja nakushauri hela yko kale karanga yote!mkuu mpk sasa kuna kadem kanasoma huko mwaswa kinanisumbua kweli, kina dai hakina nauli ya kuja kwao Dar mana kinasoma boarding, lkn navyo muona naona kama ni kitapeli,
Najiuliza nimtumiee?
Nimemtumia mkuu, nimeamua kufanya kama msaada.Kuna dada nlimtumia 25,000 aje hadi leo bdo ypo njiani anakuja nakushauri hela yko kale karanga yote!