nyanimzungu
JF-Expert Member
- Mar 4, 2017
- 1,204
- 928
Me mwenyewe nilikua nampango wa kukupiga mzinga ila tu umewahi kujitetea
mpk sasa ananisumbua, sijui nimtumiee tu?Aaaah sasa huo hauitwi msaada,wakisaidia nauli alafu wakingojea kwa hamu ili urudishe haki yako
nataka nimkatie tiket ya bus aje, namfanyia booking hapa DarUmakadharau sana mpaka "kukaita kademu".
Mpotezee
Eti atushauri sasa kikifika utatushauri uingie nae gheto au usiingie nae??mpk sasa ananisumbua, sijui nimtumiee tu?
Mangi katika ubora wake....peleka sadaka kanisani.nataka nimkatie tiket ya bus aje, namfanyia booking hapa Dar
Ila mimi mkuu sijawahi kupata shida ikashindikana, na mimi huwa wananitoaWewe Tatigha ni sawa na mimi, yooote uliyoeleza hapo yananigusa moja kwa moja.
Shida yangu ni kwamba siku nikiwa na shida mimi hakuna hata mtu mmoja anayenisaidia.
Ila mimi sijawahi Pata shida ya pesa kabisa, japo ni kidogo ila huwa hainisumbui
Ila mimi sijawahi Pata shida ya pesa kabisa, japo ni kidogo ila huwa hainisumbui
Aisee mule mule kama Mimi exactly kabisaaa. Wakati mwingine huwaza ama namimi niache kusaidia ama kuwakopesha. Sijawahi fahamuWewe Tatigha ni sawa na mimi, yooote uliyoeleza hapo yananigusa moja kwa moja.
Shida yangu ni kwamba siku nikiwa na shida mimi hakuna hata mtu mmoja anayenisaidia.
Ila cha msingi tuwasaidie pale tunapoweza tukishindwa tusijitutumie.Aisee mule mule kama Mimi exactly kabisaaa. Wakati mwingine huwaza ama namimi niache kusaidia ama kuwakopesha. Sijawahi fahamu
Kama mimi.Wewe Tatigha ni sawa na mimi, yooote uliyoeleza hapo yananigusa moja kwa moja.
Shida yangu ni kwamba siku nikiwa na shida mimi hakuna hata mtu mmoja anayenisaidia.